Hatimaye afande Kova ajibu shutuma juu yake

Tanzania ni zaidi ya uijuavyo, hayo mambo utayakuta tanzania tuu, na si popote hapa duniani
 
Hii nchi sasa! Watu wanajifanyia mambo tu, ni uvunjaji wa haki za binadamu kumfungulia mashtaka aliye na ugonjwa wa akili na kutumia lolote asemalo katika hali ya ugonjwa wake kama ushahidi dhidi yake......

Idealy huyo bwana Mulundi alitakiwa awe assessed na a panel of psychiatrists na watoe ripoti yao, (I insist a panel kwa sababu hao Psychiatrist nao ni madaktari). Lakini kwa vyovyote ukweli hautafutwi, ila zinazofanyika ni juhudi za kuuzika ukweli wenyewe!

Moja ni kuwa katika ujinga wake kova ni kama "kipofu kaona mwezi" kwa mgonjwa huyu au mbili Joshua Mulundi ni pandikizi atakayeingizwa mlango wa mbele na kutolewa wa nyuma vumbi litakapotulia...... kwani si tunakumbuka kile kisa cha majambazi yaliyokamatwa Buguruni sijui mwaka gani hapo hivi karibuni, waliopaswa kuwa jela wanatumikia vifungo vyao.... nani aliwatoa? Na lile saga liliishaje? Ni mchezo wao wa siku zote tu.....

As a result of class-class struggle (zile porojo za history sijui civics) naamini ipo siku watu watasimama na kusema enough is enough..... and we heading there for sure... change is inevitable
 
Ngambo Ngali.
Hapa ndio katiba mpya inapotakiwa kubadilisha hii tabia mimi sio mtaalamu sana wa sheria ila navyoujua serikali ina mihimili mitatu bunge, mahakama na dola sasa hapa kila kimoja kinasheria zake na miongozo yake so, kwa uzoefu swala likishakua mahakamani uwezi kulijadili tena hata kama wananchi wakitaka kulijadili bado litakua limevunje sheria za nchi so mtalijadili wapi? Pia hata ulimboka akirudi atalijadili wapi? Either avunje sheria ya nchi kujadili jambo lilipo mahakamani.

1. Serikali haina mihili mitatu, nchi ndio yenye mihili mitatu.

2. Gerald, nchi haiendeshwi kwa mazoea, bali huendeshwa kwa kufuata Katiba, sheria na kanuni zinazotungwa kisheria, ndio maana Kova alisema in a very sweeping and general statement, bila hata supporting legislation kuwa hairuhusiwi kuongelea suala la Mkenya, which is wrong.

3. Wananchi tuna haki ya kujadili, Kova asizungumzie vitu asivyovijua. Wanaharakati jitokezeni kututetea wananchi tupate haki yetu ya kupata habari.
 
Si tu kwamba polisi walipuuza taarifa, bali walishiriki mauaji kwa kutochukua hatua stahiki kwa wakati.

Ccm imedhamiria kufanya machafuko hapa nchini kwa kutumia polisi na vyombo vingine vya usalama kwao.

Wananchi tuiache ccm ijifie yenyewe.
 
The reputation of the Tanzania Police Force and the larger security fraternity by extension is AT ITS LOWEST TO-DATE than ever before in history of this country.

Indeed, to heel fully out of this kind of a self-imposed ethical, justice and fairness doldrum, it may very well require a highly focused sweeping security apparatus reforming in alignment with the present day pluralistic political set up of our society hand of time for them to win back public faith and support in their duties.

It is such an absurdity that these days no one can ever tell you the difference between what is a National Interest from tht which is purely a partisan CCM interest.

The security personnel are either willingly in choice to both CCM and all that which are painted, seen and felt CCM or the are in a forced mutiny of NOT serving their true boss who are the tax-payers from across-sectional political and religious camp.

How I long for those good old days when the common citizens' wishes and interests were put at the top of every other business of the security personnel.

How hard it has since become of we Tanzanians that we just can't resist a feel of being such an orphaned nation in terms of able, fair and up-right political leadership or may be Mwalimu Nyerere ma have been just going out of his ways to offer us much more than what a leader of his stature is require to do!!!!!!!!
 
Wanasheria mnisaidie. Hivi mtuhumiwa kama akidhaniwa ni kichaa anapandishwa moja kwa moja kizimbani, au anafanyiwa uchunguzi kwanza na daktari, na akionekana ni mzima wa kuweza kujibu mashtaka ndio anapandishwa mahakamani?

Kimsingi ka kweli kulikuwa na hisia ya kuwa huyo anayetuhumiwa ni kichaa, ilitakiwa afanyiwe uchunguzi wa kitabibu kuthibitisha, ndo afungiliwe mashitaka.hapa kilichofanyika ni kutaka watu wasiendeleze mjadala wa mtuhumiwa sababu , bado kuna utata.Kova anauchizi pia, au anatumika bila ridhaa.Sababu anaonekana kujichanganya mno.Nivyema waache drama wakubali uchunguzi huru, huu ubabaishaji hautasaidia.
 
Nimemuona Kova anasema kuwa taarifa za awali alizozitoa huyo mkenya bado anazipa uzito. hadi hapo madaktari watakapothibitsha kuwa huyo mtuhumiwa ni chizi.

Rafiki, naomba hapo kwenye red sema "MWEHU" ili tuende sawa tukiwa on the same agenda, halafu inakuwaje ni mapambano kati ya polisi na madaktari ? kwanini polisi hawasumbuki na wala hawaumii na swala la kutekwa na kupigwa kwa dr. Ulimboka ? wao wanapinga tuuuu kila kitu, na wanajaribu kutoa taarifa za uwongo, kwa faida ya nani ?
 
dcp sulemani kova amesemani hataki malumbano na mchungaji gwajima kuhusiana na mtu aliyemteka dr. olimboka,
akiongea na waandishi wa habari leo hii amesema kuwa wananchi waendelee kuwa na imani na jeshi lao

Tuna imani sana kaka nani kamwambia hatuna imani?
 
PARTISAN SECURITY PERSONNEL IS A FAMILY NOT GOOD ENOUGH FOR A COUNTRY COMMITTED TO MULTIPARTY POLITICAL DEMOCRACY AND THE TENETS OF GOOD GOVERNANCE

The reputation of the Tanzania Police Force and the larger security fraternity by extension is AT ITS LOWEST TO-DATE than ever before in history of this country.

Indeed, to heel fully out of this kind of a self-imposed ethical, justice and fairness doldrum, it may very well require a highly focused sweeping security apparatus reforming in alignment with the present day pluralistic political set up of our society hand of time for them to win back public faith and support in their duties.

It is such an absurdity that these days no one can ever tell you the difference between what is a National Interest from tht which is purely a partisan CCM interest.

The security personnel are either willingly in choice to both CCM and all that which are painted, seen and felt CCM or the are in a forced mutiny of NOT serving their true boss who are the tax-payers from across-sectional political and religious camp.

How I long for those good old days when the common citizens' wishes and interests were put at the top of every other business of the security personnel.

How hard it has since become of we Tanzanians that we just can't resist a feel of being such an orphaned nation in terms of able, fair and up-right political leadership or may be Mwalimu Nyerere ma have been just going out of his ways to offer us much more than what a leader of his stature is require to do!!!!!!!

We need change NOW AND HERE for all crucial apparatus of governance, individual mind-sets and heightened NATIONAL (Not CCM) ETHOS and total arrest for corruption and embezzlement of large chunks of funds from public coffers!
 
dcp sulemani kova amesemani hataki malumbano na mchungaji gwajima kuhusiana na mtu aliyemteka dr. olimboka,
akiongea na waandishi wa habari leo hii amesema kuwa wananchi waendelee kuwa na imani na jeshi lao
Harrison Mwakyembe alishatusaidia kuonyesha jinsi jeshi letu lilivyokosa dira na linavyotumika kwa maslahi ya baadhi ya watu
 
hivi jamani inahitaj elimu ya kiasi gani ili kujua kwamba hili jeshi la polisi siyo la kuaminika? je yahitaji watu wenye ujuzi gani kujua kwamba jeshi hili linaongozwa na serikali ya kichwa cha mtu?

jamani miye naomba nimuulize hivi huyu Kova kwani kabla Dr uli hajatekwa je kuna mwananchi mwingine yeyote ambaye alikuwa amesharipotiwa kutekwa? kama ndiyo walituletea fback wananchi? haya je mwananchi huyu alitekwa chini ya police surveillance?

hebu atupe haya majibu ili tuendelee kumuonyesha jinsi ambavyo kamwe hatutaweza kuwa na imani na jeshi hili linaoongozwa na aserikali ya kichwa kimoja tu.

hainiingii akilini eti dr anatekwa wakati gari la polisi liko doria tena mawili yanapita eneo hilo. hainiinii akilini kwamba watu wote waliokuwa kwenye eneo la tukio wasiweze kumtetea dr kama hakukuwa na mazingira yenye kutisha tena ambayo bunduki zimeonekana.

hainiingii akili huyu mkenya aje ateke dr uli from no where lol! kwani hivi maneno haya tumchome sindano ya sumu, hapana tumchome kisu mara hapana tumpige bunduki mara hapana huyu amesha kufa tu tusipoteze nguvu tumfunie na majani aozee hapa jamani kweli ni tz ama? mazingira haya kweli hayatoshi kutufanya tusiwe na imani na jeshi? hivi mkeye huyo angekuwa ametumwa kumuua could he debate on what to be done at the crime scene? haiitaji kuwa na degree ama phd ya intelijensia kujua huu ni mchezo wa watu fulan.
 
Wamegundua kuwa plan yao ni weak. Wanatafuta namna watakavyo engage plan B knowing that Watanzania ni vilaza
 
Hata mwanangu wa chekechea hana imani na jeshi la polic.kama MWAKIEMBE,SAMWELI SITA WALISEMA,HAWANA IMANI NA JESHI LA POLIC,JUZI PIA WATU MAKINI MBOWE,DR SILAHA WAMESEMA HAWANA IMANI NA JESHI LA POLIC!HUYU MWANANGU WA CHEKECHEA ATA SEMAJE ANA IMINI NA JESHI LA POLIC?HATA KICHAA SASA HANA IMANI NA JESHI LA POLIC.
 
Siyo kwamba hawajui kudanganya,hawaoni umuhimu wa kutumia sophisticated means kwasababu wanawadharau sana wananchi.Wanaona hakuna haja ya kutumia hizo efforts na wanauhakika litapita tu kwasbabu watanzania wengi wanasubiri hadi siku ya kiama ndo wauwaji waadhibiwe na mungu.
Hakika jmushi1 - Ni upepo, utapita!
 
Last edited by a moderator:
Huyo mwehu kova ajiandae kuunganishe kwenye kesi zitakazomkabili legelege DHAIFU pindi atakapotoka madarakani.
 
Back
Top Bottom