silent lion
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 1,161
- 1,540
Channel ya Al Jazeera imeonesha vuguvugu la Uamsho leo katika taarifa zake za habari na kueleza jinsi wazanzibari wasivyoutaka Muungano
Sio nchini tanzania tu,bali dunia nzima.waulize wamarekani watakuambia baada ya lile li muvu lao la kumkashifu mtumeBaba yangu aliniambia waislam hapa nchini wanaogopeka sana.
Hawa uamsho walimhitaji Mkapa ndo alikuwa kiboko yao, wala wasingekuwa barabarani hadi leo.
Wameanza tena? Mabomu ya moto hakuna? Virungu je? Polisi wapo na FFU? Zenj wataipata fresh hadi ifike 2015. Asante kwa taarifa.
Baba yangu aliniambia waislam hapa nchini wanaogopeka sana.
Vipi hoja ya mkataba imekufa? Mimi nawaunga mkono wavunje muungano tena ikiwezekana kesho kwa amani.Nyakati za kuwadhulumu na kuwatesa wailsamu zimekwisha...Hapa ikiuwawa muislamu na majeshi/polisi wa Tanganyika muelewe mkristo wa kitanganyika atauwawa vile vile...Jino kwa jino.
Muamsho ni Maarufu kuliko Chadema ????