Hatimae Muamsho watambulika kimataifa

Vipi hoja ya mkataba imekufa? Mimi nawaunga mkono wavunje muungano tena ikiwezekana kesho kwa amani.

Takashi chuki dhidi ya Watanganyika ya nini? Dini ipi inalingania mauaji? Hivi huoni kauli zako zinaudhalilisha Uislam?
Kama Mtume Mohamad(S.A.W) aliishi na watu wa imani nyingine na wasio na imani wapi wewe umepata kuhusu mauaji?
Unapoufungamanisha Uislam na kauli za kipuuzi unaidhalilisha dini Sheikh, ilimu haisemi hivyo. Futa hayo maneno (edit).

Je, hao Watanganyika wakitumia busara zako mbovu WZNZ 350,000 watakuwa na hali gani Sheikh huku bara!
Kwanini unakua Abnuwasi wa kukata mti uliokalia.

Edit hiyo sehemu ndugu yangu, dini haisemi hivyo, na kama ndivyo basi ni ya WZN siyo tunayoijua dunia nzima.
Too low Ahli wangu, jazba hadi unapoteza hata hekima kidogo zizlizobaki. Sheikh umeghafilikiwa na nini.
Muombe Mwenyezi msamaha!

Mimi nilikua najibu tu, hoja ya mshenzi mmoja ...Nyakati za kuwatisha waislamu zimekwisha...
 
Hawa uamsho walimhitaji Mkapa ndo alikuwa kiboko yao, wala wasingekuwa barabarani hadi leo.
kama kutumia nguvu ingekuwa inasaidia ingewasaidia wapenda madaraka kwa mf:gaddafi,husni mubarak,na zain al abidin,kuwasikiliza wananchi na kujirekebisha ni bora kuliko kuchokoza nguvu ya wananchi kwani vurugu zikianza hata yaje majeshi ya un,haitosaidia kitu.
 
Baba yangu aliniambia waislam hapa nchini wanaogopeka sana.
kwa kuongeza:uislamu ni dini inayokusanya mataifa na makabila mbali mbali ulimwenguni kote bila ya ubaguzi wowote,baba yako hakukosea,kama ugomvi wako na waislamu elewa kwamba utashindwa kwanzia sasa,kwa ushahidi zaidi muulize G.W.bush na kuporomoka uchumi wa marekani na muulize sababu zilizopelekea hiyo kitu kutokea!!
 
kwangu mimi taarifa hii si ya kushtua saaana,kama ni mfuatiliaji mzuri wa khabari za kimataifa na huishii(kwenye ccm na uamsho na chadema)utaelewa kwamba nchi kama hispania kwa sasa nako mambo moto,asilimia kubwa ya wananchi wa jimbo la katalonia wanataka wameguke kutoka nchi ya hispania na wawe na nchi yao na serikali yao kamili,na wameandamana kwa malaki na hakuna hata mmoja aliepigwa bomu la machozi au virungu,huku jumuiya ya ulaya ikifikiria kuwapa uhuru wananchi wa katalonia kupiga kura ya kutaka ama kukataa muungano na hispania!!!
tusipende kwenda kibabe babe tu tutangulize akili mbele!!
mimi naunga mkono muungano 100% na viongozi wafanye kila liwezekanalo kuulinda ila kwa busara na amani na kurekebisha baadhi ya vipengele vinavyoonekana kuwa vina kasoro
 
kwa kuongeza:uislamu ni dini inayokusanya mataifa na makabila mbali mbali ulimwenguni kote bila ya ubaguzi wowote,baba yako hakukosea,kama ugomvi wako na waislamu elewa kwamba utashindwa kwanzia sasa,kwa ushahidi zaidi muulize G.W.bush na kuporomoka uchumi wa marekani na muulize sababu zilizopelekea hiyo kitu kutokea!!

Tatizo lenu ni kutaka kuunganisha utawala na uumini wa imani ya mungu,nchi nyingi zina wapagani ,wakristo na waislamu pia.sasa huwezi kulazimisha watu wote kuwa na imani moja kwa wakati mmoja,

Halafu imani sio lazima kujilipua, hao unaosema tumuulize Bush,hebu muulize Saddam hussen,Osama bin laden,mullah omar,Al shabab na mujahedeen wote walioko Lebanon,Jordan,Yemen,na hivi karibuni utaona kinachoelekea kuipata Iran na Ahmednejad wao.,

Wekeni bidii darasani kusoma elimu Dunia badala ya malumbano yasio na tija.
 
Tatizo lenu ni kutaka kuunganisha utawala na uumini wa imani ya mungu,nchi nyingi zina wapagani ,wakristo na waislamu pia.sasa huwezi kulazimisha watu wote kuwa na imani moja kwa wakati mmoja,

Halafu imani sio lazima kujilipua, hao unaosema tumuulize Bush,hebu muulize Saddam hussen,Osama bin laden,mullah omar,Al shabab na mujahedeen wote walioko Lebanon,Jordan,Yemen,na hivi karibuni utaona kinachoelekea kuipata Iran na Ahmednejad wao.,

Wekeni bidii darasani kusoma elimu Dunia badala ya malumbano yasio na tija.
maaskofu wanaobaka watoto wadogo,na wanaouza unga,na maaskofu mashoga,wakristo wenye itikadi kali kama wale wanaochoma misahafu na kukashifu mtume ambaye hajawakosea kitu,viongozi wakristo waliouwa waislamu kwa malaki huko bosnia na cosovo,hatuwezi kuwalaumu hawa kwa jina la wakristo wote!!!
kwa maana hiyo al-shabab wana sababu zao za kidini na kisiasa zaidi ambazo waislamu wengi hawakubaliani nao,na hali hiyo hiyo kwa bin laden mzungumzie bin laden na la qaeda kama kikundi kilichoamua kutumia nguvu na kujilipua kama njia mojawapo ya kutetea haki zao,na usiwajumuishe na waislamu wote,hapo utakuwa umetukosea
 
Tatizo lenu ni kutaka kuunganisha utawala na uumini wa imani ya mungu,nchi nyingi zina wapagani ,wakristo na waislamu pia.sasa huwezi kulazimisha watu wote kuwa na imani moja kwa wakati mmoja,

Halafu imani sio lazima kujilipua, hao unaosema tumuulize Bush,hebu muulize Saddam hussen,Osama bin laden,mullah omar,Al shabab na mujahedeen wote walioko Lebanon,Jordan,Yemen,na hivi karibuni utaona kinachoelekea kuipata Iran na Ahmednejad wao.,

Wekeni bidii darasani kusoma elimu Dunia badala ya malumbano yasio na tija.

halafu kitu kingine huwa natabasamu kwa masikitiko kila ninapokisoma,kama waislamu wa tanzania wameweka mbele elimu ya dini kuliko ya dunia jua hiyo ni kwa tanzania tu na ni kosa la waislamu wa tanzania tu,usiwajumuishe wote,tembelea turky ona maendeleo yake uliza raisi wake(ni muislamu),nenda malaysia jionee maajabu ya maendeleo uliza raisi wake ni dini gani na wananchi wa nchi hiyo ni dini gani??!!nenda indonesia burney u.a.e,u.k.s,iran,na......................utajua kuwa kama wamelala ni waislamu wa tz tu hehehe,fungukeni kiakili zaidi
 
kama kutumia nguvu ingekuwa inasaidia ingewasaidia wapenda madaraka kwa mf:gaddafi,husni mubarak,na zain al abidin,kuwasikiliza wananchi na kujirekebisha ni bora kuliko kuchokoza nguvu ya wananchi kwani vurugu zikianza hata yaje majeshi ya un,haitosaidia kitu.
If you say so!
 
Polisi waliwalinda tu, Uamsho wamebadilisha mfumo, walishauriwa na bosi na mwanzilishi wao Amani Abeid Karume kwamb moto uendelee lakin wapunguze mwendo kona. Sasa wao wanakutana kuwasomesha wananchi kuichukia Tanzania, SMZ ifutwe au Tujiandae kwa Vita Kama ya Kenya na Somalia, sisi na Zanzibar ya Uamsho

Cha msingi hatutaki vita, kinachotakiwa ni kuvunja ndoa kati ya Unguja na Tanganyika!!! vita ya nini wakati suluhu inawezekana kabla ya vita? vita ya waislam ni ngumu sana duniani.
 
Channel ya Al Jazeera imeonesha vuguvugu la Uamsho leo katika taarifa zake za habari na kueleza jinsi wazanzibari wasivyoutaka Muungano

me niliona Wavuta bangi na watumia Unga ... so UAMSHO ni wahuni kumbe wakishalewa madawa huchanganyikiwa....
 
Many Tanzanians were surprised to hear in May this year that there was rioting in usually-peaceful Zanzibar. Supporters of an Islamic group named Uamsho, that calls for the islands of Zanzibar to secede from the union with mainland Tanganyika, demonstrated against the union and clashed with police. Two churches were burned in the unrest, although Uamsho denies its supporters were involved.
Zanzibar and Tanganyika formed the union, and together became Tanzania, in 1964. The union has not faced many major challenges until recently. In April Tanzanian President Jakaya Kikwete told constitutional review commissioners at their swearing-in ceremony that they should not entertain any talk of Zanzibar seceding, as this year's constitutional review proceeds. Zanzibaris who want a referendum on the issue were angered, and the secession movement seems to have gathered momentum since.
Uamsho appears to enjoy a solid support base among the islands' majority-Muslim population. The Christian minority, many of them originating from the mainland, are anxious.
The central union government has been criticised by some for not reacting quickly enough, for initially not condemning Uamsho, and for not addressing the underlying grievances that fuel the demand for secession. Many in both Zanzibar and Tanganyika are poor and feel they are marginalised by corrupt politicians. However, this is common across the whole region, and while many see secession as a possible solution, it is not abundantly clear how it would help, and what tangible benefits it would bring.
Meanwhile the main opposition party, the Civic United Front (CUF), is also calling for secession, but with a secular government. Some believe the party is connected to Uamsho, although it denies any link.
CUF's Deputy Secretary Ismail Jusa Ladu told us that Zanzibar, with about one million inhabitants, should be governed separately because its tourism-based economy is different to that of the mainland. Tanganyika, with a population of about 40 million, also has tourism but the economy is dominated more by natural resources and some industry.
Some observers believe the discoveries of offshore oil in both Zanzibari and Tanganyikan waters play a role. Uamsho critics say the group is using the appeal of religion and sovereignty to rally support for secession, but with an eye to controlling natural resource wealth. Many believe the group has financial backing from proponents of political Islam in the Gulf, although when we spoke to one of Uamsho's leaders, Mselem Ali Mselem, he denied it - he told us the group has no foreign support.
In the coming months and years we will see if the pro-secession movement develops, and if the union holds up or Zanzibar wins a greater degree of sovereignty - with either Islamic or secular government. Secession may or may not solve the problems faced by many Zanzibaris, and it could create new problems, too. However, without a concerted effort from the union government and union proponents to win back some Zanzibari hearts and minds, talk of secession is unlikely to go away anytime soon.>
CUF's Deputy Secretary Ismail Jusa Ladu talks to Al Jazeera
 
Many Tanzanians were surprised to hear in May this year that there was rioting in usually-peaceful Zanzibar. Supporters of an Islamic group named Uamsho, that calls for the islands of Zanzibar to secede from the union with mainland Tanganyika, demonstrated against the union and clashed with police. Two churches were burned in the unrest, although Uamsho denies its supporters were involved.
Zanzibar and Tanganyika formed the union, and together became Tanzania, in 1964. The union has not faced many major challenges until recently. In April Tanzanian President Jakaya Kikwete told constitutional review commissioners at their swearing-in ceremony that they should not entertain any talk of Zanzibar seceding, as this year's constitutional review proceeds. Zanzibaris who want a referendum on the issue were angered, and the secession movement seems to have gathered momentum since.
Uamsho appears to enjoy a solid support base among the islands' majority-Muslim population. The Christian minority, many of them originating from the mainland, are anxious.
The central union government has been criticised by some for not reacting quickly enough, for initially not condemning Uamsho, and for not addressing the underlying grievances that fuel the demand for secession. Many in both Zanzibar and Tanganyika are poor and feel they are marginalised by corrupt politicians. However, this is common across the whole region, and while many see secession as a possible solution, it is not abundantly clear how it would help, and what tangible benefits it would bring.
Meanwhile the main opposition party, the Civic United Front (CUF), is also calling for secession, but with a secular government. Some believe the party is connected to Uamsho, although it denies any link.
CUF's Deputy Secretary Ismail Jusa Ladu told us that Zanzibar, with about one million inhabitants, should be governed separately because its tourism-based economy is different to that of the mainland. Tanganyika, with a population of about 40 million, also has tourism but the economy is dominated more by natural resources and some industry.
Some observers believe the discoveries of offshore oil in both Zanzibari and Tanganyikan waters play a role. Uamsho critics say the group is using the appeal of religion and sovereignty to rally support for secession, but with an eye to controlling natural resource wealth. Many believe the group has financial backing from proponents of political Islam in the Gulf, although when we spoke to one of Uamsho's leaders, Mselem Ali Mselem, he denied it - he told us the group has no foreign support.
In the coming months and years we will see if the pro-secession movement develops, and if the union holds up or Zanzibar wins a greater degree of sovereignty - with either Islamic or secular government. Secession may or may not solve the problems faced by many Zanzibaris, and it could create new problems, too. However, without a concerted effort from the union government and union proponents to win back some Zanzibari hearts and minds, talk of secession is unlikely to go away anytime soon.>
CUF's Deputy Secretary Ismail Jusa Ladu talks to Al Jazeera[/
 
Vipi hoja ya mkataba imekufa? Mimi nawaunga mkono wavunje muungano tena ikiwezekana kesho kwa amani.

Takashi chuki dhidi ya Watanganyika ya nini? Dini ipi inalingania mauaji? Hivi huoni kauli zako zinaudhalilisha Uislam?
Kama Mtume Mohamad(S.A.W) aliishi na watu wa imani nyingine na wasio na imani wapi wewe umepata kuhusu mauaji?
Unapoufungamanisha Uislam na kauli za kipuuzi unaidhalilisha dini Sheikh, ilimu haisemi hivyo. Futa hayo maneno (edit).

Je, hao Watanganyika wakitumia busara zako mbovu WZNZ 350,000 watakuwa na hali gani Sheikh huku bara!
Kwanini unakua Abnuwasi wa kukata mti uliokalia.

Edit hiyo sehemu ndugu yangu, dini haisemi hivyo, na kama ndivyo basi ni ya WZN siyo tunayoijua dunia nzima.
Too low Ahli wangu, jazba hadi unapoteza hata hekima kidogo zizlizobaki. Sheikh umeghafilikiwa na nini.
Muombe Mwenyezi msamaha!



:yo::yo::yo:
 
Back
Top Bottom