Hatimae Muamsho watambulika kimataifa

hapa kazi ipo. je mkijitenga mtapata faida gani msipojitenga vipi. jamani wanzazibar mpo wengi sana bara mna kazi mna biashara mmeoa huku kwetu hivi mnajiuliza wabara wangapi wapo zanzibar na wanafanya kazi huko. hivi muungano ukivunjika nasi wabara tukawasaka kama mbuzi mrudi kwenu mtarudi nanini. achen huo ujinga akina jusa wapo watakapokwenda mtakaumia ni nyie wazenji ambao leo wanawatuma na mnapigwa mabomu na vitu vizito. Mwambieni Sheni na Seif hamtaki muungano muondoke hata leo si tunawaangalia tu. 'dhambi ya ubaguzi haiishi...............kama kula nyama ya mtu
 
umenikumbusha kitu kizuri sana mdau ligendayika, alishasema Mwalimu "dhambi ya ubaguzi ni kama dhambi ya kula nyama ya mtu....". mie naangalia tu, at the end yatakuja ya Wazanzibari na Wazanzibara, duh kazi kwelikweli

swali nililo nalo, naombeni mnisaidie wadau...ni kitu gani ambacho Tanzania Bara itapoteza kama muungano ukifa? nauliza tu, naomba nipewe ukweli....
 
Ukosefu wa vichogo ni dalili ya kufubaa kwa ubongo.,sipendi kabisa watu wasio na vichogo .,sijui walizaliwa kwa operesheni.,?
 
umenikumbusha kitu kizuri sana mdau ligendayika, alishasema Mwalimu "dhambi ya ubaguzi ni kama dhambi ya kula nyama ya mtu....". mie naangalia tu, at the end yatakuja ya Wazanzibari na Wazanzibara, duh kazi kwelikweli

swali nililo nalo, naombeni mnisaidie wadau...ni kitu gani ambacho Tanzania Bara itapoteza kama muungano ukifa? nauliza tu, naomba nipewe ukweli....

Mkuu:


jibu lako zuri watakuwa wanalo watawala wa kuu kwanini wan'ganganie kitu kisicho na mufaa kwao ! lakini jibu jengine ni kusambaratika kwa jina Tanzania .lakini kubwa zaidi ni posho la misaada itabidi kila mmoja awe na lake .jengine ambalo baya ama zuri watanganyika wengi walioachwa katika giza na umasikini katika nchi yao ya Tanganyika watatoka usingizini na kudai haki zao za msingi sahau Dar , Arusha, Mwanza na miji mengine kidogo kulikobaki huwezi jua kama upo Tz hakuna hata hadhi ya kuitwa vijiji. huku kote wataamka na kutaka vipande vyao na mwisho tutakuta South Tanganyika, North Tanganyika, West Tanganyika na East Tanganyika kila mmoja na lugha yao ya taifa yenye makabila zaidi ya 20. tukianza na wewe je unapata haki yako ya msingi katika nchi yako ? na utabaki katika tanganyika ipi sema ukweli usiogope mafisadi .
 
Mkuu:


jibu lako zuri watakuwa wanalo watawala wa kuu kwanini wan'ganganie kitu kisicho na mufaa kwao ! lakini jibu jengine ni kusambaratika kwa jina Tanzania .lakini kubwa zaidi ni posho la misaada itabidi kila mmoja awe na lake .jengine ambalo baya ama zuri watanganyika wengi walioachwa katika giza na umasikini katika nchi yao ya Tanganyika watatoka usingizini na kudai haki zao za msingi sahau Dar , Arusha, Mwanza na miji mengine kidogo kulikobaki huwezi jua kama upo Tz hakuna hata hadhi ya kuitwa vijiji. huku kote wataamka na kutaka vipande vyao na mwisho tutakuta South Tanganyika, North Tanganyika, West Tanganyika na East Tanganyika kila mmoja na lugha yao ya taifa yenye makabila zaidi ya 20. tukianza na wewe je unapata haki yako ya msingi katika nchi yako ? na utabaki katika tanganyika ipi sema ukweli usiogope mafisadi .
mhhh nashukuru kwa majibu mdau.
nikirejea hotuba ya Mwalimu katika kipengele cha dhambi ya ubaguzi alisema, wale ambao wataanzisha game ya ubaguzi, basi ubaguzi huo hautotuacha. wakiuanza watu wa bara basi mgawanyiko uliouweka kwenye hilo jibu ndiyo sehemu yake haswa...kwa suala la kuwa ntaelekea upande upi I'm afraid siwezi sema coz hiyo picha ya ubaguzi bado haijapata folder lake ndani yangu..huo ndio ukweli wangu...on the other hand kama mwananchi cjapata haki zangu kwa asilimia zote na sidhani kama hilo litatokea...
 
kwa kuongeza:uislamu ni dini inayokusanya mataifa na makabila mbali mbali ulimwenguni kote bila ya ubaguzi wowote,baba yako hakukosea,kama ugomvi wako na waislamu elewa kwamba utashindwa kwanzia sasa,kwa ushahidi zaidi muulize G.W.bush na kuporomoka uchumi wa marekani na muulize sababu zilizopelekea hiyo kitu kutokea!!

Kuporomika kwa uchumi wa Marekani hakuhusiani na Uislamu wala vita haihusiki. Ilianza Mortgage finance ikaja insurance na downfall ya financial insitutions. Kumbuka uchumi ukifika kwenye peak ni kawaida kushuka au kuwa stagnant ila ni most likely kuporomoka! Elimu dunia ni ya muhimu sana na usiwe unaangalia channel za aina moja tu angalia za huko kwenu na pia za west na east kama urusi na china!
 
hivi vikundi naviogopa sana,huwa nikisikia boko haramu,alshababu,basi roho yangu hata haitamani yatokee ya nigeria,maana wakianza hapa tz hata jf haita patikana tena
 
Back
Top Bottom