Hatima ya waliosoma diploma na wakapata 3.4 gpa kushuka chini (lower second)

Kaka mim naomba nikushauri.

Naona unatumia/mnatumia nguvu nyingi kubishana na mtu/watu wa aina ya 'Bansen Burner', watu wa aina hii wanamapungufu ya kifikra inawezekana kutokana na kukosa elimu au kupata elimu isiyo na faida (elimu ya kuondoa ujinga na siyo ya kumkomboa kifkra).

Ukweli ni kwamba serikari yetu katika hili imekurupuka maana ilitakiwa iwatangazie watu mapema hata kabla ya kufungua sydtem ya nacte na watu kuanza kuapply pia walitakiwa kuwaandaa watu kwa kupandisha kidogo walau kwa kuanzia lower second (naamin hapa wachache wangeumia) hii ni kwa sababu kupata lower second si kazi kubwa sana kama kuipata upper second. Yote kwa yote mim naiman serikari italiona hili na Guide ya Tcu ikija itakuwa na maboresho kidogo kwa watu wa Diploma na si kwa hiyo GPA iliyotangazwa na Ndalichako hivyo tungoje tuione hiyo Guide book. Mim pia ni mmoja wa wanhanga wa hili tamko maan nina diploma lakin GPA yangu iko vizur sina ugomvi nao ila naumia kuona wengine wanakatishwa ndoto zao ghafra. Hakika kila elimu inaugum wake, chini ya juahakuna elimu rahisi. Tuwasamehe bure hawa wanaotoa majibu mabaya ya kuwakatisha tamaa wengine maana hatujui elimu zao na pia kama wanaelimu hatujui wamezipata vip kwan chuon ukiwa na pesa hakuna kuferi ila kama huna pesa lazima kukesha.Kila la gheri ndugu zangu wenye DIPLOMA kama mimi Mwenyezi Mungu naamin atasikia kilio chenu na tutakutana vyuoni panapo majaliwa.
 
Kwa wadogo zangu mliomaliza kidato cha sita na wa kidato cha nne mnaohitaji info kuhusu vyuo vya china(kozi,ada na admission process) kwa mwaka 2016 ninaweza kuwasaidia na i can help with admission process too.tuwasiliane kupitia +8613065131363 whatsapp only.na kwa wale form six science waliokosa sifa za kujiunga na shahada foundation courses za mwaka 1 pia zipo .Karibuni huduma inatolewa bure
Ofisi zenu ziko wapiii??
Watsup siyo kila mtu anayo!
Halafu website yenu iweke hapa watu tutembelee tujuwe tunafanyaje!
Hahaaaaa
hii nbox kwa watsup mtu
UNATAPELIWA MCHANA KWEUPE...
 
Habari
Ninaomba kufahamishwa kama serikali imetoa muongozo wa hatima ya wale waliosoma stashahada (diploma) na wakapata GPA ya 3.4 kushuka chini..... yaani Lower second (achana na pass).

Muda unakimbia kwa kasi sana na ingepaswa hili litolewe muongozo. Tafadhali kwa anayefahamu......
Ahsante
Kwa sasa muongozo ni huu Mwanamama..!
Unaweza kubaki na Diploma yako ukaendelea na harakati nyingine za maisha...
Ila kama wewe ni mfia Degree basi rudia kuisoma hiyo Diploma yako ili upate GPA inayotakiwa..!
Lakini bila shaka TCU wanawafikiria..!
 
Kwa sasa muongozo ni huu Mwanamama..!
Unaweza kubaki na Diploma yako ukaendelea na harakati nyingine za maisha...
Ila kama wewe ni mfia Degree basi rudia kuisoma hiyo Diploma yako ili upate GPA inayotakiwa..!
Lakini bila shaka TCU wanawafikiria..!
Dah that is very bad. Angalau wangepitisha transition period this year. Waanze mwakani
Not this surprise
 
Mambo yatakuwa mazuri kwa sisi wenye gpa chini ya 3.5 lets wait hasa kwa tulioapply mapema...nadhani nacte hawatakubali kubebeshwa na lawama kwa mabadiliko yalitangazwa na tcu.. waliposema majadiliano bado yanaendelea it means kuna jambo
....
 
Veta inamuhusu hahaha
Inawezekana ujapitia fm6, uliza waliopita uko hasa PCM PCB PGM watakwambia mtiti wa advance. Diploma mwalm anaekufundisha kila siku ndie anaetunga mtihani wa mwisho sa unashindwaje kufanya vizuri lakin pia content zenu mnazofanyia mitihani ni chache sio sawa na Advance. Usichukulie easy hivyo kaka GEORGE batrama
 
Ndalichako kumbuka kuwa hawa waliopata 3.4 and below wengi wao makabwela hasa wenye diploma ya education kwakweli masomo yao ni mengi na mtihani yao Huandaliw na necta. Saidia kupunguza gape kati yao na matajiri wenye uwezo wa kuwasomesha watt wao shule nzuri na wakapata hiyo 3.5 and above
 
Unamaanisha watoto wa vigogo wanauwezo wa kupata GPA kubwa zaidi ya MAKABWELA??? Wao wanaipataje wengine mshindwe?
Haujanielewa mama...
Namaanisha kwa watoto wa MAKABWELA education ni zaidi ya MTAJI...
Na hii kitu ikipitishwa mtoto wa KABWELA hana namna zaidi ya kurudia masomo au kupiga BENCH...
hii kitu inakula kwao...
Huyo mtoto wa KIGOGO wala hana pressure na maamuzi ya Ndalichako..!
Piah namaanisha kuwa maamuzi yote ya UKURUPUKAJI huwa yanawaumiza zaidi watoto wa MAKABWELA..!
 
Back
Top Bottom