Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 47,792
- 191,114
Yan ulivyocheka mpaka huku nyuma nimesikia 😆
Yan ulivyocheka mpaka huku nyuma nimesikia 😆
Kama wewe umeoa mwanamke baada ya miaka mingi ghaflq anarudisha mawasiliano na ex wake na wanaanza kuomba kuonana, utalichukuliaje hilo?Sijui kwa nini mnawazaga hivyo tu?
Pepo la kusambaratisha ndoa limekufikia, achana na kuongea na maekisiWakuu, haya maisha yanafunzo.
Niliwahi kuwa na mahusiano na binti mmoja tukapata mtoto mmoja, maisha yakatuchanganya, tukaachana, Kila mtu akaendelea na Maisha yake!
Mtoto aliniachia mawasiliano kumhusu yalibakia kati yake na Mama yangu na alivyofika darasa la 6 nikampeleka Boarding.
Nikaoa, sikujua habari zake tena.
Leo nikakutana na ka diary mahali, nikafungua kujua kinahusu nini, ni cha binti yangu! na nilipofungua macho yangu yalikutana moja kwa moja na namba ya Mama yake.
Sijaonana naye almost 12years now!
Nikapata msukumo kutoka ndani yangu kujaribu kumpigia, as ilikuwa mchana nikajua atakuwa katika mazingira ya kazi.
Nilivyopiga ile namba haikupokelewa, na baada ya dakika kama 10 ikanipigia.
Nilimsalimia tu akanitambua! Alizungumza na mimi kwa heshima sana na kwa sauti ya upole.
Nikatamani kujua status yake, ameshaolewa with two kids.
Yeye anajua kuhusu mimi via my daughter wanawasiliana.
Basi tukapongezana pale na kuagana.
Nimejisikia vizuri mno, nimeona hii ni platform yakushare ninavyojisikia
Natamani sana kumwona tena!
Muhusika anaweza kuona pia, natamani ajue
Sijui nafanyaje hapa wadau...
I know rightAmeongea kwa hisia kali mnoooo
Pole ndugu yangu , inaweza kuwa wewe uliumizwa sana ndio maana unasema hivi , kuna sababu nyingi ambazo zinapelekea kuachana na nyingi zinatoka kwenu ila kwa vile sisi wanaume ndie tulie kuwa tumependa na upendo wa kweli haufi, na kwa namna hio hatuhifadhi kinyongo na kisasi tofauti na nyie ndio maana nyie mnawaza negative wakati wote linapo kuja swala kama hili.Wanaume ni watu wabaya sana kipenzi,basi tu
Okay, nimeona comment yako nadhani umemuelewa zaidi kwasabu ushawahi kuexperience... Sijui kwanini mawazo yangu yalipeleke huko🤦♀️🤦♀️Sijui kwa nini mnawazaga hivyo tu?
Kwann mnatafutaga kifiro kwa udi na uvumba hivi?ameshaolewa with two kids.
andaa rindazSijui nafanyaje hapa wadau...
acha tamaa,Wakuu, haya maisha yanafunzo.
Niliwahi kuwa na mahusiano na binti mmoja tukapata mtoto mmoja, maisha yakatuchanganya, tukaachana, Kila mtu akaendelea na Maisha yake!
Mtoto aliniachia mawasiliano kumhusu yalibakia kati yake na Mama yangu na alivyofika darasa la 6 nikampeleka Boarding.
Nikaoa, sikujua habari zake tena.
Leo nikakutana na ka diary mahali, nikafungua kujua kinahusu nini, ni cha binti yangu! na nilipofungua macho yangu yalikutana moja kwa moja na namba ya Mama yake.
Sijaonana naye almost 12years now!
Nikapata msukumo kutoka ndani yangu kujaribu kumpigia, as ilikuwa mchana nikajua atakuwa katika mazingira ya kazi.
Nilivyopiga ile namba haikupokelewa, na baada ya dakika kama 10 ikanipigia.
Nilimsalimia tu akanitambua! Alizungumza na mimi kwa heshima sana na kwa sauti ya upole.
Nikatamani kujua status yake, ameshaolewa with two kids.
Yeye anajua kuhusu mimi via my daughter wanawasiliana.
Basi tukapongezana pale na kuagana.
Nimejisikia vizuri mno, nimeona hii ni platform yakushare ninavyojisikia
Natamani sana kumwona tena!
Muhusika anaweza kuona pia, natamani ajue
Sijui nafanyaje hapa wadau...
Hapana mkuu achana nae ulioa mwingine let her be usijekuharibu ndoa yake bureWakuu, haya maisha yanafunzo.
Niliwahi kuwa na mahusiano na binti mmoja tukapata mtoto mmoja, maisha yakatuchanganya, tukaachana, Kila mtu akaendelea na Maisha yake!
Mtoto aliniachia mawasiliano kumhusu yalibakia kati yake na Mama yangu na alivyofika darasa la 6 nikampeleka Boarding.
Nikaoa, sikujua habari zake tena.
Leo nikakutana na ka diary mahali, nikafungua kujua kinahusu nini, ni cha binti yangu! na nilipofungua macho yangu yalikutana moja kwa moja na namba ya Mama yake.
Sijaonana naye almost 12years now!
Nikapata msukumo kutoka ndani yangu kujaribu kumpigia, as ilikuwa mchana nikajua atakuwa katika mazingira ya kazi.
Nilivyopiga ile namba haikupokelewa, na baada ya dakika kama 10 ikanipigia.
Nilimsalimia tu akanitambua! Alizungumza na mimi kwa heshima sana na kwa sauti ya upole.
Nikatamani kujua status yake, ameshaolewa with two kids.
Yeye anajua kuhusu mimi via my daughter wanawasiliana.
Basi tukapongezana pale na kuagana.
Nimejisikia vizuri mno, nimeona hii ni platform yakushare ninavyojisikia
Natamani sana kumwona tena!
Muhusika anaweza kuona pia, natamani ajue
Sijui nafanyaje hapa wadau...
Binafsi niseme sioni shida, ujue binadamu tumejawa na ubinafsi wa aina yake, haturuhusu mtu kuwa huru na furaha eti kwaajili ya maslahi yetu, aisee mimi huo utumwa siwezi , namuacha mtu awe huru , awe na furaha, akutane na anaye mpa furaha.Kama wewe umeoa mwanamke baada ya miaka mingi ghaflq anarudisha mawasiliano na ex wake na wanaanza kuomba kuonana, utalichukuliaje hilo?
Nini shida mmyAcha kumtafuta...umesema upo na mtoto wamtafuta wa nini....afu mwambie aache kupokea simu zako Kabisa yaan
My dear usiombe umpende mtu halafu mtengane, kisha mkutane tena baada ya miaka mingi, hata kama ulimfumania hundred percent hutakumbuka hilo zaidi ya yele mema mlioshikishana, hii ipo sana kwa sisi wanaume.Okay, nimeona comment yako nadhani umemuelewa zaidi kwasabu ushawahi kuexperience... Sijui kwanini mawazo yangu yalipeleke huko🤦♀️🤦♀️
Yan ulivyocheka mpaka huku nyuma nimesikia
OkayMy dear usiombe umpende mtu halafu mtengane, kisha mkutane tena baada ya miaka mingi, hata kama ulimfumania hundred percent hutakumbuka hilo zaidi ya yele mema mlioshikishana, hii ipo sana kwa sisi wanaume.
Kuoa single mother ni sawa na kutembea na mke wa mtu ili hali mwenye mke yupoUmuone ule mbususu embu Tulia na mkeo mwanangu