Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,662
- 176,087
Kwani nasema uongo ndugu zangu?Wee jamaa jau sana ππππ
Kwani nasema uongo ndugu zangu?Wee jamaa jau sana ππππ
Ndivyo ninavyojisikia.My dear usiombe umpende mtu halafu mtengane, kisha mkutane tena baada ya miaka mingi, hata kama ulimfumania hundred percent hutakumbuka hilo zaidi ya yele mema mlioshikishana, hii ipo sana kwa sisi wanaume.
Na wewe umoSio mimi sasa mkuu ππππ
Mke wa mtu aheshimiweKwani nasema uongo ndugu zangu?
ππππ Wakina Demi mna shida sana ππππππNa wewe umo
Mungu anawaonaπππkiporo hakiitaj moto mwingii
Mimi sifanani na wengineππππ Wakina Demi mna shida sana ππππππ
Duuhπ€Huyo mama ataliwa no way
jombasti amejisahau kuwa anataka ku play dirty. Mimi Ecx mzazi wangu siwezi hata kumuwazia ujinga huo.Mke wa mtu aheshimiwe
Nakaziakiporo hakiitaj moto mwingii
πππ Sawa sawa hapo sikupingi kabisa πππMimi sifanani na wengine
Ungeendelea kumvumilia, miaka yote hiyo hujamove-on mzee.Ndivyo ninavyojisikia.
Sisi tuliachana kwasababu alikuwa na utoto mwingi sana by that time.
ππππππ Weee na kuzoom tuu..jombasti amejisahau kuwa anataka ku play dirty. Mimi Ecx mzazi wangu siwezi hata kumuwazia ujinga huo.
Mungu anawaonaπππ
Au inategemea je ? πππHapa ndio ule msemo unajidhihirisha. Single maza hawafaiii πππ
kweli mzeeππππππ Weee na kuzoom tuu..
Kuna sehemu takudaka
Na Wewe ni member kule kwa Rick boy ? π π πHalafu akishamla anakuja na bandiko la kusema wazazi hawaachani, au anaenda kwa rickboy kutoa ushuhuda alivyomla ex wake kimasihara
Akii we jamaa weweππππHalafu akishamla anakuja na bandiko la kusema wazazi hawaachani, au anaenda kwa rickboy kutoa ushuhuda alivyomla ex wake kimasihara
Nilisha move on, nina familia.Ungeendelea kumvumilia, miaka yote hiyo hujamove-on mzee.