figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
katika hali isiyo ya kawaida baada ya show ya chid benz kumetokea taharuki baada ya watu waliokuwa katikati ya uwanja kukimbia huku wakipiga kelele kitu kilichofanya watu wote kukimbia.kutokana na wingi wa watu baadhi ya watoto walikuwa wanakanyagwa.sijui kama kuna aliyekufa coz watu ni wengi na show imesimama.cha ajabu hamna ambulance wala police.ni fujo tupu.nipo kwenye tukio