hatari hatari hatari........kwa akina mama/akina dada

My Wife wangu nimuathirika wa hili yaani last week hatukulala alibleed usiku mzima na akasema haijawahi mtokea tangu amekua mkubwa, three days later ndio the same sms ikaingia kwene simu yake ikimjulis
ha na alinifahamisha kuwa ni pedi hizo hizo, nilitaka nianzishe uzi kuwajulisha but mambo yakawa mengi! TBS hoi
 
we acha tu wifi hali ni mbaya saratani mara fungus sijui itakuwaje daaah TP (shwari) itachukua nafasi

Hahahaha.....bora maamuzi magumu asee .......mie nna rafiki anasumbuliwa na fungus karibu mwaka wa 5 wifi......ametumia dawa zote na bado haponi......sazingine ndio haya mambo ya pad za kidhungu lol!
 
Asante kwa taarifa, mama mkubwa lazima afahamu na awatip na wenzake
 
Hahahaha.....bora maamuzi magumu asee .......mie nna rafiki anasumbuliwa na fungus karibu mwaka wa 5 wifi......ametumia dawa zote na bado haponi......sazingine ndio haya mambo ya pad za kidhungu lol!

baada ya kusoma ile bandiko imenikumbusha wiki iliyopita rafiki yangu alibleed mbaya kabisa tukampeleka hosp huwezi amini mabonge kama maini akalazwa siku 3 baada ya kufanya vipimo wakasema hakuna kitu alitumia dawa sasa sijui ndio hii issue ngoja nitamwuliza huwa anatumia vidude gani inawezekana hata hizi zilizozoeleka zina mtikisiko mmmmmhhh wifi kuna haja ya kuangalia hili jambo kwa undani aise
 
My Wife wangu nimuathirika wa hili yaani last week hatukulala alibleed usiku mzima na akasema haijawahi mtokea tangu amekua mkubwa, three days later ndio the same sms ikaingia kwene simu yake ikimjulis
ha na alinifahamisha kuwa ni pedi hizo hizo, nilitaka nianzishe uzi kuwajulisha but mambo yakawa mengi! TBS hoi

...Iliishiaje? I mean, the bleeding maana according to the report after just a few hours of bleeding you are History...How is Shem now?
 
Hope this is not an avenue to spoil the brand.............yet to believe that cos dis can be
masterminded by the competitors.[
 
...Iliishiaje? I mean, the bleeding maana according to the report after just a few hours of bleeding you are History...How is Shem now?

Thanks Mungu iliisha tu japo hatukua na amani baada ya kupata hio text na kugundua kuwa ni the same pedi ndio ametumia
 
dah, naungana na mchangiaji mmoja hapo juu kwamba hzo ni mbinu za wajenzi huru kupunguza idadi ya watu. hii ni hatari sana. pia chanzo cha UTI asilimia kubwa ni hazo mataulo. tena siku hz c ajabu kuona watoto wachanga wana UTI kutokana na pampers!
Mungu atusaidie. asante dada gfsonwin!
 
Last edited by a moderator:
gfsonwin huu uzi wako una uhusiano wowote na hii iliyotokea huko Niaja?

Dairies Sanitary Pad Kills - Ladies Beware ~ Entertainment Talks
Please there's this deadly sanitary pad that is making Ladies bleed to death, its name is 'Dairies " its unique in looks, its a new product in stores, it has killed 53 ladies in Jos ( Northern State in Nigeria) recently" It makes the female Virgina to bleed like they (female) are having heavy flow" especially at night the female users bleed to death" without knowing it, please watch what u buying , send this Broadcast to all your friend's, girlfriends, wives and colleagues on any networking site. Has anyone seen or heard anything like this? please send your comment below.

halafu soma na hii ambayo inakanusha

Hoax - 'Deadly Sanitary Pad' Responsible for 53 Deaths

Brief Analysis
The claims in the message are nonsense. There are no credible reports that support the claims in any way. An earlier and equally false version of the warning claimed that the women had died in Nigeria. Spreading this false information will help nobody and may cause unnecessary fear and alarm. Please do not forward or repost this bogus warning.



ila jamani tunakufaaaaaaaaaaaaaaa hata haya makansa ya vizazi mengine yanatokana na haya haya. cha ajabu wiki ilopita tbs iliteketeza sanitary towels zisizokidhi viwango huko pugu. swali langu waliweza kweli kuhakikisha kwamba hazijaingia sokoni? na kwanini hawakusema aina ya pedi walizo teketeza?
 
Last edited by a moderator:
baada ya kusoma ile bandiko imenikumbusha wiki iliyopita rafiki yangu alibleed mbaya kabisa tukampeleka hosp huwezi amini mabonge kama maini akalazwa siku 3 baada ya kufanya vipimo wakasema hakuna kitu alitumia dawa sasa sijui ndio hii issue ngoja nitamwuliza huwa anatumia vidude gani inawezekana hata hizi zilizozoeleka zina mtikisiko mmmmmhhh wifi kuna haja ya kuangalia hili jambo kwa undani aise

Khaaa!......kweli mpendwa mie nishaanza kuogopa hata hizi tulizozizoea.......duuh kazi ipo wifi!.....rafiki amepona lakini? Muulize tujihadhari kabla ya hatari!
 
Hi sisters and brothers, please watch out there is this deadly sanitary pad which is making ladies bleed to death,its name is DARIES"its unique in looks,its a new product in stores and it has killed 53 ladies in Johannesburg recently"it makes your vagina bleed heavily and u will think its a heavy flow then at night u bleed to death without knowing it from chemicals used in the pad, pls watch what u buy... This is URGENT
siwatish ila ni ukweli na zimeshaingia sokoni hapa kwetu na mwenye kutaka ukweli zaid ani pm.
nawasilisha

Hii habari kama ina ukweli mie ombi langu kwa moderators wangei-STICK hii thread kwa muda ili watu wengi waweze kusoma..ni habari ya muhimu.
 
Nimeshamwambia mke wangu, halafu nikamwambia awaambie wifi zake maana kwa mila za kwetu siwezi kuzungumzia jambo hili na dada zangu, nadhani habari zitaenea kama moto wa nyika, ingawa wajingawajinga wapo, si wanaambiwa wasitumie vipodozi fulani lakini hawaelewi?
 
Wife wangu aliwahi kuniambia ni bora niwe mshamba lakini pedi za dukani sintozitumia kwa kipindi hicho sikumwelewa alimaanisha nini, nitakuwa natumia vitambaa vyangu safi tu vinatosha akasema kwani hapo kabla hujanioa nyumbani kijijini huwa tunatumia vitambaa safi.
 
Mie my wife nshamwonya, kama hataki kurejea Eden kwa kutumia vipande vya khanga kama zamani basi tena. Fungusi, mwasho na heavily bleedings zitaendelea. Dada zetu, tumieni vitambaa kama zamani, wenzenu hata kuvaa kondomu zinatutia hofu mambo kama haya!
 
ASILI!!what does it mean? Chakula,mavazi,imani ,uongozi na mwenendo mzima wa kimaisha ya kila siku is the only solution to our problem.ASILI IS THE ONLY AND TRUE GOD FOR US.GROLY BE TO OUR JESUS CHRIST.very sory for those from other side
 
Back
Top Bottom