Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
yani nimekoma haswa si mimi si mtoto hakuna atakayetumia, UTI kwa watoto wadogo haziishi kisa mapampers.mpendwa wala usichelewe achana kabisa na haya mataulo ya kutoka huko kwa wadosi si watu kabisa aisee.