Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
- Thread starter
- #41
Kasheshe sasa leo unaendelea na msimamo wako kuwa hotuba ya Dr.Slaa ilikuwa live?
Ama kumekucha na wewe umeujua ukweli wa mambo ulivyo?
Kuna mambo ya kubisha na mengine lazima kwanza uwe na ukweli.
Kasheshe hata kama ni ukada mwingine unamharibia mtu heshima mbele ya wana JAMVI ,.,.......
Ama kumekucha na wewe umeujua ukweli wa mambo ulivyo?
Kuna mambo ya kubisha na mengine lazima kwanza uwe na ukweli.
Kasheshe hata kama ni ukada mwingine unamharibia mtu heshima mbele ya wana JAMVI ,.,.......