Hata vichaa wanapenda...Nimeshuhudia

Na tumeshaanza kufa.......ona ocean road wagonjwa mpaka wanakosa vitanda..tunaishi kwa msaada wa Mungu...afadhali kdogo Iringa hali ya kijani mashalaah, miti mingi na vijito visivyokauka kiangazi vipo....Ingawa baada ya miaka kadhaa hali itabadilika si hatuna nidhamu ya utunzaji
Hata elimu ya mazingira hatuna mkuu
 
Hata elimu ya mazingira hatuna mkuu

Ajabu ni kwamba mababu zetu angalau walipanda miti kama miembe,michungwa n.k...lakini kizazi chetu chenye elimu ya darasani hakijali kabisa kupanda miti.Nafikiri tatizo ni zaidi ya elimu - ni kutojali na mchakamchaka wa maisha
 
Teh ila huyu jamaa yako Kongosho hakawii kukugeuka na kukurushia mawe wewe....muda si mrefu atasahau kuwa mko pamoja utashangaa vibom vinaanza kuelekea upande wako....
Kwanza amepotea....ngoja nimtafute na tulishamkataza kwenda jukwaa na stress ila hataki kusikia....kila akienda anaambulia likizo lol then anawapa watu kazi ya kumwombea msamaha....

dah huyu sie Kongosho nimjuae mkuu
Nadhani umemchanganya na mtu mwingine kabisa.
OTIS
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom