Magulumangu are you single?????
hahahahahahahah lol.. asante sana
Tumia ukali kidogo... Lizzy akikikutana na a guy mkali kidogo anaishiwa pozi kabisaaa....
Jamani Afrodenzi umesahau kigori changu nilokipata? Kuna nini lakini?
mkuuuu hatamimi nimeingia choo cha kike! kumbe kwangu ni siasani!Ai ai ai ai ai ai,...
so siku hizi watu wa TRC kazi yenu ni kuandika mashairi tu?
ops,kumbe sipo kwenye siasa,...
mashairi bomba sana mkuu
Si muarusha, so ni m-mbulu? au mmachame?Hahhahhah Lizzy sio Muarusha bwana!!!
Ila kitu kimetulia!Endelea.....
Si muarusha, so ni m-mbulu? au mmachame?
Ule mugodi wa alumasi wangu kule mwadui.....
ha ha ha a,next utenzi uwe kuhusu upcoming staa...just like me
Mkuu mashairi yako mazuri sana ila uache kushabikia tigo
magulumangu, aksante kwa shairi, japo nimechelewa kuliona. Limetulia, kweli hata sisi ni staa.
hahahahahahahahah nasikia lizzy ndo anafundisha vina kumbe wewe ndo mtungaji wake hahahahaha siri iko fichuka...
Shairi limetulia
Hongera Magulumangu
Nawasubiri kwenda kuwarusha
leo w/end ni pare pare kwa yule mkare
Si muarusha, so ni m-mbulu? au mmachame?
Upendeleo umezidi kwanini wanawake watupu tuuu