Hivi inakuaje unafika home na kukuta mkeo anachat na mtu kupitia facebook,unamuomba ucheki unakuta jamaa kamtumia meseji eti ni x wake na anamlaumu kwa nini hawakuagana rasmi.....unataka kuzimia...ungefanyaje??[/QUOTE]
Niweke sawa baada ya kutaka kuzimia ndo ungefanyeje au?? Mie ni slow leaner nisamehe
Hivi inakuaje unafika home na kukuta mkeo anachat na mtu kupitia facebook,unamuomba ucheki unakuta jamaa kamtumia meseji eti ni x wake na anamlaumu kwa nini hawakuagana rasmi.....unataka kuzimia...ungefanyaje??
Hivi inakuaje unafika home na kukuta mkeo anachat na mtu kupitia facebook,unamuomba ucheki unakuta jamaa kamtumia meseji eti ni x wake na anamlaumu kwa nini hawakuagana rasmi.....unataka kuzimia...ungefanyaje??[/QUOTE]Ningetaka kuzimia hivyo hivyo
:kev::kev:
Hivi inakuaje unafika home na kukuta mkeo anachat na mtu kupitia facebook,unamuomba ucheki unakuta jamaa kamtumia meseji eti ni x wake na anamlaumu kwa nini hawakuagana rasmi.....unataka kuzimia...ungefanyaje??[/QUOTE]Ningetaka kuzimia hivyo hivyo
:kev::kev:
Hivi inakuaje unafika home na kukuta mkeo anachat na mtu kupitia facebook,unamuomba ucheki unakuta jamaa kamtumia meseji eti ni x wake na anamlaumu kwa nini hawakuagana rasmi.....unataka kuzimia...ungefanyaje??
Hakuna cha kukaa naye kwa upole hapa kwani tayari iko very clear kwamba wanaendelea hata baada ya kuolewa. Kuishi na mwanamke au mke kuna fomula nyingi ila naona hizi za kidiplomasia zitatufikisha ambapo sipo kwani wanavimba kichwa na kuongeza dharau. Muulize ni kwa nini ameamua kurudi kwa mtu wa kale wakati ninyi wanandoa. Then waite wazazi wake na ndugu zake then mfanye kikao cha kumwonya ili mjue kulikoni. Kama ana wazazi wenye busara basi wakishamwonya si rahisi aendeleze huo ujinga na akiendeleza mpe likizo ya kwenda kwao kwa muda ili akili itulie la sivyo unaweza pata pressure ndugu yangu . Wanawake wakibembelezwa sana huwa wanavimba kichwa na kuongeza tabia ya dharau kwa waume zao.
Hakuna cha kukaa naye kwa upole hapa kwani tayari iko very clear kwamba wanaendelea hata baada ya kuolewa. Kuishi na mwanamke au mke kuna fomula nyingi ila naona hizi za kidiplomasia zitatufikisha ambapo sipo kwani wanavimba kichwa na kuongeza dharau. Muulize ni kwa nini ameamua kurudi kwa mtu wa kale wakati ninyi wanandoa. Then waite wazazi wake na ndugu zake then mfanye kikao cha kumwonya ili mjue kulikoni. Kama ana wazazi wenye busara basi wakishamwonya si rahisi aendeleze huo ujinga na akiendeleza mpe likizo ya kwenda kwao kwa muda ili akili itulie la sivyo unaweza pata pressure ndugu yangu . Wanawake wakibembelezwa sana huwa wanavimba kichwa na kuongeza tabia ya dharau kwa waume zao.
Hakuna cha kukaa naye kwa upole hapa kwani tayari iko very clear kwamba wanaendelea hata baada ya kuolewa. Kuishi na mwanamke au mke kuna fomula nyingi ila naona hizi za kidiplomasia zitatufikisha ambapo sipo kwani wanavimba kichwa na kuongeza dharau. Muulize ni kwa nini ameamua kurudi kwa mtu wa kale wakati ninyi wanandoa. Then waite wazazi wake na ndugu zake then mfanye kikao cha kumwonya ili mjue kulikoni. Kama ana wazazi wenye busara basi wakishamwonya si rahisi aendeleze huo ujinga na akiendeleza mpe likizo ya kwenda kwao kwa muda ili akili itulie la sivyo unaweza pata pressure ndugu yangu . Wanawake wakibembelezwa sana huwa wanavimba kichwa na kuongeza tabia ya dharau kwa waume zao.