Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
- Thread starter
- #21
asante yako
shukrani yako
asante yako
tatizo kila ukijaribu kuniudhi ndio kwanza unanifurahisha,kazi ya kunifurahisha si yako charminglady ,ukinifurahisha sana kitakachofata ntafanya kama jogoo likimtaka jike
ntakimbia afu najisemea moyoni "nikisimama ntaonekana ma.la.ya" sa bora nkimbie tu!
aaha,ha,ha,ha,teh,teh,te,...umenivunja mbavu yaani kama nakuona uko unakimbia huku kanga inataka kudongoka kiatu kimoja kimevuka,...huku unanimezea mate unajisemea sianikamate,alafu wakati unakimbia ndo unazidi kujipeleka chemba
mh! Hapa uwezekano wa kuudhiwa haupo kabisa.
Kijana pole!
Btw if the symptoms persissit seek medical advice !
Kijana pole!
Btw if the symptoms persissit seek medical advice !
dr. Judgement we hujagoma? ama unaogopa wasiku-ulimboke?