luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,092
- 21,448
Unapoachana na mtu take your time hata ipite miaka mitano.
Yule kaka nilijua atakuja nisumbua kihisia maani nilimpenda kuliko alivyo nipenda.
Sasa sina majuto kabisa nimekaa miaka yangu kadhaa nimejilidhisha kuwa yeye sio mwanaume pekee na sina majuto yeyote kwake.
Kocha akiweka sub dakika za lala salama anaamini hiyo sub inaenda kuleta matokea mazuri yasio na majuto.
Wewe kaka ninakushukuru kwa kuniacha umenionesha njia wakati ule mimi ndo nilikuwa naangaika kukutafuta bado nidanganywe hiki na kile dah nyie mapensiiii ni nyoko.
Nyie mimi ni mvumilivu na mshamba wa mapenzi maana sijuagi hata kuchepuka.
Wewe kaka asante kuniacha jamani kwa sasa nisipo jibu sms ndani ya dk 10 lazima nitowe sababu za kutosha sio sababu za kiafrica za kubumba, ni kupelekwa kizungu zungu, video call za kutosha kuona niko wapi na ninafanya nini. Etc etc....
Wewe kaka ninakushukuru kuniacha uishi maisha marefu.
Nyie muheshimu ex wako anakuja kwenye maisha yako kukufinndisha ujitambue
Yule kaka nilijua atakuja nisumbua kihisia maani nilimpenda kuliko alivyo nipenda.
Sasa sina majuto kabisa nimekaa miaka yangu kadhaa nimejilidhisha kuwa yeye sio mwanaume pekee na sina majuto yeyote kwake.
Kocha akiweka sub dakika za lala salama anaamini hiyo sub inaenda kuleta matokea mazuri yasio na majuto.
Wewe kaka ninakushukuru kwa kuniacha umenionesha njia wakati ule mimi ndo nilikuwa naangaika kukutafuta bado nidanganywe hiki na kile dah nyie mapensiiii ni nyoko.
Nyie mimi ni mvumilivu na mshamba wa mapenzi maana sijuagi hata kuchepuka.
Wewe kaka asante kuniacha jamani kwa sasa nisipo jibu sms ndani ya dk 10 lazima nitowe sababu za kutosha sio sababu za kiafrica za kubumba, ni kupelekwa kizungu zungu, video call za kutosha kuona niko wapi na ninafanya nini. Etc etc....
Wewe kaka ninakushukuru kuniacha uishi maisha marefu.
Nyie muheshimu ex wako anakuja kwenye maisha yako kukufinndisha ujitambue