Khaa! Kumbe ni lazima kusalimiana!
Mimi nahisi kipato kinakuzuzua na uchoyo uliokujaa ndio hivyo tena unataka kuwatenga nduguzo!
...
Kwani ukiwasalimia wewe kunaubaya gani?
Wewe jifyetue afu yakukute ndio utajua umuhimu wa ndugu!
Hata aibu huna! Hiyo ndio ishu ya kutengana na ndugu zako?
...
Aisee nakuonea huruma sana!
Washkaji wanakua ndugu,ndugu wanabaki watu baki,sio ndugu ukiwa na tatizo ni ndugu wakiwa na dhiki. Usiponiona wakati wa raha na kwenye shida tusionane,kama mwana uwe mwana na si siku nyingne tukimbiane _mwanafa
Asalaaam wana jf.kuna kitu kimoja huwa kinanishangaza sana,mimi naishi dar city,nimeajiriwa serikalini,na huku dar,ninaishi mimi kama mimi,sina ndugu jijini hapa zaidi ya jamaa na marafiki,na mpenzi wangu.Back to the topic ni kwamba ndugu zangu hawana kitu kinaitwa kujaliana na kujuliana hali.Yaani wao kunijulia hali ni pale mtu anapokuwa na shida hasa ya mshiko ndio ananipigia simu kama hana shida ya pesa anajeuri yakukaa hata miezi mitatu hajakupigia wala kukutumia ujumbe wowote zaidi yakuomba pesa.Mimi hii tabia yao huwa inanifanya hata nisipokee simu zao coz nimeshajua tabia yao,yaani mtu anakupigia simu mwisho wa mwezi na ukishatatua tatizo lake baasi!itakuwa big deal kuipata simu yake labda mpaka awe na shida,XO Ninafanya maamuzi magumu yakubadiri line wawe pia na wao wananipata kwa msimu.I DNT CARE WETHER I'M RIGHT OR WRONG,I GONNA TRYING LIVING MY LIFE ON MY OWN.
Asalaaam wana jf.kuna kitu kimoja huwa kinanishangaza sana,mimi naishi dar city,nimeajiriwa serikalini,na huku dar,ninaishi mimi kama mimi,sina ndugu jijini hapa zaidi ya jamaa na marafiki,na mpenzi wangu.Back to the topic ni kwamba ndugu zangu hawana kitu kinaitwa kujaliana na kujuliana hali.Yaani wao kunijulia hali ni pale mtu anapokuwa na shida hasa ya mshiko ndio ananipigia simu kama hana shida ya pesa anajeuri yakukaa hata miezi mitatu hajakupigia wala kukutumia ujumbe wowote zaidi yakuomba pesa.Mimi hii tabia yao huwa inanifanya hata nisipokee simu zao coz nimeshajua tabia yao,yaani mtu anakupigia simu mwisho wa mwezi na ukishatatua tatizo lake baasi!itakuwa big deal kuipata simu yake labda mpaka awe na shida,XO Ninafanya maamuzi magumu yakubadiri line wawe pia na wao wananipata kwa msimu.I DNT CARE WETHER I'M RIGHT OR WRONG,I GONNA TRYING LIVING MY LIFE ON MY OWN.
Saccos mpaka family level duh, bila shaka tungekuwa tunayasimamia hayo mambo kisayansi inawezekana tungekuwa mbali sana sisi km jamii na hata mmojammojaDawa yake ndogo mkuu. Ndugu wengi watakutafuta kwa sababu wana shida. Kwa sababu shida nyingi zinahusiana na hela, fanya hivi:
"waambie tufungue account ya kuweka na kukopa, ili mtu akipata tatizo asikimbilie kukuomba au kujifanya anakukopa hali hatarudisha, badala yake akopeshwe kutoka hiyo account na atarudisha with very little interest ili account iendelee kukua, yeyote atakayekataa kujiunga, basi asikutafute kwa mambo ya hela". Mie nimefanya hivyo and it works, watu kibao baada ya kuwaelezea wameniiga.