knows
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,403
- 2,006
Habar wana JF,
Natumaini mko salama wote mungu anaendelea kutupigania Niende kwenye point japo sio muandishi mzuri sana ila ndo hivyo mnisamehe tu ndugu zangu.
Wakuu nina hali ambayo nahisi sio ya kawaida japo sina uwakika, kiukweli kwanza nina hali ya kutojali mimi nakujali ni tofauti lakini kwangu najihisi comfortable sana lakini hali hii inaemuumiza sana ni mwanamke wangu sababu ninaweza kaa siku nzima bila kumcheki na nikaona ni kwaida tu lakini sio tu mwanamke wangu hii hali mpaks kwa familia yangu.
Kaka yangu mkubwa alishaongea na mimi kuhusu hii hali lakini wapi akaamua kunyamaza lakin sio kwamba nafanya kusudi Hapana yaani ndo nilivyo, mimi sipendi kuongea ila nachati. Mimi nikikupigia simu jua kuna deal au kitu chochote kuhususiana na kazi basi zaidi ya hapo simu yangu huwa ni ngumu sana kuita kwa watu ndugu ndo kabsa.
Na mtu kunipigia simu kila wakati aisee sipendi Daah nachukia sana mtu kunipigia kila mara hata mwanamke wangu akinipigia simu ninaweza kujifikiria sana kupokea au nisipokee kabisa sababu najua hamalizi kuongea na mimi sipendi kuongea, yaani kiufupi sipendi mtu kunijali sana nachukia then naboeka sipendi mtu kunitafuta kila muda.
Wakuu kubembeleza mi ndo kulinipitia kushoto hii hali ndo shida sana mi sijuiagi kumbembeleza mtu na ndo nilivyo ukiunganisha na kutokujali ndo balaa, wakuu hii hali pia kama ina solution mnipatie maana kuna wakati nahiso siko sawa kutokana na hizi hali japokuwa ndo nakuwa na amani zaidi bado nawaza ni mimi tu au kunawatu pia wana hali kama yangu?
Natumaini mko salama wote mungu anaendelea kutupigania Niende kwenye point japo sio muandishi mzuri sana ila ndo hivyo mnisamehe tu ndugu zangu.
Wakuu nina hali ambayo nahisi sio ya kawaida japo sina uwakika, kiukweli kwanza nina hali ya kutojali mimi nakujali ni tofauti lakini kwangu najihisi comfortable sana lakini hali hii inaemuumiza sana ni mwanamke wangu sababu ninaweza kaa siku nzima bila kumcheki na nikaona ni kwaida tu lakini sio tu mwanamke wangu hii hali mpaks kwa familia yangu.
Kaka yangu mkubwa alishaongea na mimi kuhusu hii hali lakini wapi akaamua kunyamaza lakin sio kwamba nafanya kusudi Hapana yaani ndo nilivyo, mimi sipendi kuongea ila nachati. Mimi nikikupigia simu jua kuna deal au kitu chochote kuhususiana na kazi basi zaidi ya hapo simu yangu huwa ni ngumu sana kuita kwa watu ndugu ndo kabsa.
Na mtu kunipigia simu kila wakati aisee sipendi Daah nachukia sana mtu kunipigia kila mara hata mwanamke wangu akinipigia simu ninaweza kujifikiria sana kupokea au nisipokee kabisa sababu najua hamalizi kuongea na mimi sipendi kuongea, yaani kiufupi sipendi mtu kunijali sana nachukia then naboeka sipendi mtu kunitafuta kila muda.
Wakuu kubembeleza mi ndo kulinipitia kushoto hii hali ndo shida sana mi sijuiagi kumbembeleza mtu na ndo nilivyo ukiunganisha na kutokujali ndo balaa, wakuu hii hali pia kama ina solution mnipatie maana kuna wakati nahiso siko sawa kutokana na hizi hali japokuwa ndo nakuwa na amani zaidi bado nawaza ni mimi tu au kunawatu pia wana hali kama yangu?