Maaskari wengi bado hawazingatii haki za watuhumiwa wakijiaminisha kuwa raia ni mahamuma wa sheria. Ndiyo maana utawakuta wakiwatesa,kuwapiga hata kuwadhalilisha kama hivyo,itabidi waheshimu haki ya watuhumiwa bila kuangalia maslahi binafsi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.