Jinsi matapeli wanavyolindwa na polisi, utapeli hautaisha

kocha Nabi

JF-Expert Member
Feb 1, 2022
590
1,467
Kumekuwa na kasumba kuwa kesi nyingi zikifika polisi na mtuhumiwa akapelekwa mahakamani basi walalamikaji wanakosekana na mtuhumiwa kuachiwa huru.

Lakini tujiulize je ni kweli sheria inaamua haki? Kama polisi walithibitisha kweli mtuhumiwa ameletwa na raia na ametapeli kweli kwanini kusiwe na mifumo ya kumfunga mhusika kwani raia hatwendi mahakamani kwa kuogopa usumbufu usio na faida.

Na hii inapelekea matapeli wengi kurudi mtaani na kuendelea na kazi.

Pia polisi wenyewe wanachukulia kesi ni mtaji, wao ndio wanakuwa madalali wa mazungumzo pande zote 2 hasa kwa tapeli wakiamini wakimsaidia kumtoa watapata chichote kitu.

IMG-20230902-WA0003~2.jpg


huyu ni mmoja wa matapeli ambaye ana historia ya kukamatwa na kuachiwa kwa kuhonga.
 
Kesi za madai kuziondoa police imepelekea kichaka Cha matapeli kupigia watu
 
Huu mfumo una mizizi chini kabisa. Mkuu kuna mambo ukipata kuyajua yatakushangaza mkuu sema kuyasema tunachelea maisha yetu. Huyo uliyemweka hapa ni tapeli mdogo. Kuna matapeli hapa wana connection katika mifumo yote ya usalama wanapga foreigners na baada ya hapo aliyepgwa haruhusiwi kukanyaga nchini 😃
 
Huu mfumo una mizizi chini kabisa. Mkuu kuna mambo ukipata kuyajua yatakushangaza mkuu sema kuyasema tunachelea maisha yetu. Huyo uliyemweka hapa ni tapeli mdogo. Kuna matapeli hapa wana connection katika mifumo yote ya usalama wanapga foreigners na baada ya hapo aliyepgwa haruhusiwi kukanyaga nchini 😃
Hawa foreigners ukifuatilia ni wezi wanataka kupata vitu kiurahisi mwisho wa siku wanaishia kukutana na wezi , wao wanadhani huku africa watu ni wajinga, hawataki kufuata sheria zilizowekwa ,mfano mtu anagoogle huko anakutana na mtu wanauziana dhahabu wakati wangefuata utaratibu hayo yote yasingetokea
 
jamaa huyu amekuwa na tabia ya kupita kwenye maduka ya security systema na kuchukua namba kisha anaagiza mzigo mkubwa wa hela nyingi then anamtapeli boda boda aliyemletea mzigo.

mbinu yake anatafuta location inayojulikana kama ghorofa ya mwalimu house, ushirika tower, mahospitali makubwa n.k then anazoeana na mlinzi boda ukifika anakukabidhisha kwa mlinzi yeye anajifanya anaenda kwa mhasibu kuchukua pesa na hapo ndo unapopigwa.

alifanikiwa kukamatwa mwanzo wa mwezi wa 9 lakini polisi akatoka kwa dhamana na bado atapambana arudi mtaani aendelee kutapeli kwani ndio tabia yake.

 
Hawa foreigners ukifuatilia ni wezi wanataka kupata vitu kiurahisi mwisho wa siku wanaishia kukutana na wezi , wao wanadhani huku africa watu ni wajinga, hawataki kufuata sheria zilizowekwa ,mfano mtu anagoogle huko anakutana na mtu wanauziana dhahabu wakati wangefuata utaratibu hayo yote yasingetokea
Mkuu ngoja niishie hapa.
 
Police wengi ni matapeli,madalali wa vyombo vya Moto Kama pikipiki,voda na magari
Wakati mwingine wanajiuzia magari ya vidhibiti kwa bei Chee mil 2 Hadi 3
Nenda pale kituo Cha mbezi mwizo saivi wamekipeleka pale gogoni,hizo dili wanazo Sana
 
IMG-20230903-WA0000.jpg
hapa aliwahi kukamatwa 2019 lakini hakuna kilichofanyika na bado karudi ulaiani kutapeli na ataachiwa ataendelea kutapeli.

namba anayotumia kutapeli ni hii hapa 0711 910 915
 
Police wengi ni matapeli,madalali wa vyombo vya Moto Kama pikipiki,voda na magari
Wakati mwingine wanajiuzia magari ya vidhibiti kwa bei Chee mil 2 Hadi 3
Nenda pale kituo Cha mbezi mwizo saivi wamekipeleka pale gogoni,hizo dili wanazo Sana
kweli kabisa kiongozi.
 
jamaa huyu amekuwa na tabia ya kupita kwenye maduka ya security systema na kuchukua namba kisha anaagiza mzigo mkubwa wa hela nyingi then anamtapeli boda boda aliyemletea mzigo.

mbinu yake anatafuta location inayojulikana kama ghorofa ya mwalimu house, ushirika tower, mahospitali makubwa n.k then anazoeana na mlinzi boda ukifika anakukabidhisha kwa mlinzi yeye anajifanya anaenda kwa mhasibu kuchukua pesa na hapo ndo unapopigwa.

alifanikiwa kukamatwa mwanzo wa mwezi wa 9 lakini polisi akatoka kwa dhamana na bado atapambana arudi mtaani aendelee kutapeli kwani ndio tabia yake.
View attachment 2738526
View attachment 2738526
Huu ni wizi sio madai
 
Kama una hela na unataka kuizungusha upate faida kubwa wee cheza na njagu tu. Period.
 
Huu mfumo una mizizi chini kabisa. Mkuu kuna mambo ukipata kuyajua yatakushangaza mkuu sema kuyasema tunachelea maisha yetu. Huyo uliyemweka hapa ni tapeli mdogo. Kuna matapeli hapa wana connection katika mifumo yote ya usalama wanapga foreigners na baada ya hapo aliyepgwa haruhusiwi kukanyaga nchini 😃
As long as ni CCM inatawala Tanzania tusitegemee lolote zuri. Tena tutegemee mambo yatazidi kuwa mabaya.
 
Back
Top Bottom