Hata hili litapita

PMWAKA

Senior Member
Aug 29, 2019
191
206
Basi nimekaa hapa leo with sad face, thinking too much and try to figure out why the World is not fair.

And at the first time Mimi kijana wa 24years old nilievumilia mengi na ku-struggle too much in my life NIMELIA KWA UCHUNGU.

My young sister wants to go to collage na sina pesa , My mother is asking me at least to send her 10,000 so she can drink even Soda (because she believe nipo vizuri economically) sina hata mia, kaka angu mkewe amejifungua na anahitaji nikamuone, ila naanzaje? sina hata cha kumpelekea mtoto. Sina hata single cent now na mshahara umeingia juzi, umeenda wote kulipa deni ambalo bado nadaiwa pia, kisa kukopa kumsaidia mtu anaehitaji Masada, ili tu nionekane mwema

Maybe naishi Fake life sana, navaa vizuri, natumia simu nzuri, nafanya kazi ofisi iliopo posta tena jengo lenye hadhi na watu kuamini takua nalipwa mshahara wa maana, nami nimejiweka na kujitengenezea mazingira ya watu kuamini sina shida, Ila nina shida na SINA WA KUMUELEZA SHIDA YANGU. FAKE LIFE LINANICOST

nimesaidia watu wengi hasa marafiki, but kila ninaehitaji msaada wake kipindi hiki kigumu, kila mtu hawezi nisaidia (actually maybe life is so tight to them also) so siwalaumu na maamuzi yao. Jambo hili taratibu naona linaanza kunibadilisha na kunifanya now na roho mbaya sana ya kutotoa Masada (God forbid)

Nisiongee sana, na pia hii ni changamoto kwangu kwa sasa japo siwezi fikia maamuzi mabaya, anyway nipo kwenye situation mbaya sana na sina mtu wa kushare nae hili, limebaki Moyoni ili kuzuia watu kuninyooshea vidole.

Nina tatizo flani kiafya linaloninyima sana confidence ya kufanya maamuzi magumu sometimes na pia linanifanya niogope sana watu kuninyooshea vidore.

Sasa nimeona kuliko kulalamika na kubaki kuumia Moyoni, ni bora nitafte njia zaidi za kuongeza kipato kuliko kuumia.

Inaendelea......
 
Na kweli litapita mkuu lakini haliwezi kupita jabla hujajitakasa/
Universe haikuruhusu kusonga mbele kama una viporo unaendelea kuvipasha..
Unavunja sheria ya kutokuthamini kile ulichonacho the law of correspondence..
My brother wanasema ukikumbuka ujue haujachelewa show gratitude for what you have..
Kumbuka ulimwengu utakunyang'anya usichokithamini
 
Na kweli litapita mkuu lakini haliwezi kupita jabla hujajitakasa/
Universe haikuruhusu kusonga mbele kama una viporo unaendelea kuvipasha..
Unavunja sheria ya kutokuthamini kile ulichonacho the law of correspondence..
My brother wanasema ukikumbuka ujue haujachelewa show gratitude for what you have..
Kumbuka ulimwengu utakunyang'anya usichokithamini
 
Nataka ujue kua kua mzuri kwa watu haitamaanisha dunia iwe nzuri kwako.

Kwa saa hii naweza nikapoint kua umri waki ni sababu ya kufeki maisha. Ila kwakua umeficha background yako hilo sitataja kama sababu.

Unahitaji marafiki. Unahitaji mtu ambaye unaweza ukamwambia "Ebwana nakufa"

Kaka yako kwenda kumuangalia bila kitu siyo tatizo. Tatizo ni fake life unayoiga.

Whatever shit you do make sure you don't die coz the world needs you.
 
Basi nimekaa hapa leo with sad face, thinking too much and try to figure out why the World is not fair.

And at the first time Mimi kijana wa 24years old nilievumilia mengi na ku-struggle too much in my life NIMELIA KWA UCHUNGU.

My young sister wants to go to collage na sina pesa , My mother is asking me at least to send her 10,000 so she can drink even Soda (because she believe nipo vizuri economically) sina hata mia, kaka angu mkewe amejifungua na anahitaji nikamuone, ila naanzaje? sina hata cha kumpelekea mtoto. Sina hata single cent now na mshahara umeingia juzi, umeenda wote kulipa deni ambalo bado nadaiwa pia, kisa kukopa kumsaidia mtu anaehitaji Masada, ili tu nionekane mwema

Maybe naishi Fake life sana, navaa vizuri, natumia simu nzuri, nafanya kazi ofisi iliopo posta tena jengo lenye hadhi na watu kuamini takua nalipwa mshahara wa maana, nami nimejiweka na kujitengenezea mazingira ya watu kuamini sina shida, Ila nina shida na SINA WA KUMUELEZA SHIDA YANGU. FAKE LIFE LINANICOST

nimesaidia watu wengi hasa marafiki, but kila ninaehitaji msaada wake kipindi hiki kigumu, kila mtu hawezi nisaidia (actually maybe life is so tight to them also) so siwalaumu na maamuzi yao. Jambo hili taratibu naona linaanza kunibadilisha na kunifanya now na roho mbaya sana ya kutotoa Masada (God forbid)

Nisiongee sana, na pia hii ni changamoto kwangu kwa sasa japo siwezi fikia maamuzi mabaya, anyway nipo kwenye situation mbaya sana na sina mtu wa kushare nae hili, limebaki Moyoni ili kuzuia watu kuninyooshea vidore.

Nina tatizo flani kiafya linaloninyima sana confidence ya kufanya maamuzi magumu sometimes na pia linanifanya niogope sana watu kuninyooshea vidore.

Sasa nimeona kuliko kulalamika na kubaki kuumia Moyoni, ni bora nitafte njia zaidi za kuongeza kipato kuliko kuumia.

Inaendelea......
Nimeona nahitaji kazi ya ziada itayoweza niingizia kupato (Part time job)

Kwa yoyote ambae atakua na Msaada katika hili naomba aniunganishe Mahali ninapoweza kupata kazi ya muda wa ziada .

Sina ujuzi mwingi sana. Ila kwa ufupi

>Nina certificate of insurance and risk management.

>Nina ujuzi wa kutype very faster kwenye computer, kutumia excel vizuri, na ujuzi mwingine wa computer but I'm not IT personal.

>Naongea na kuandika fluent English (Swahili also but I don't think if Is fluent)

>Experience in marketing, Professional in customer care with big experience.

>Driving etc.

Hii ni kwa ufupi tu ila I can do many more things,

Mfano :
* I can work as sales person of any insurance company
* I can work as typist
* I can work as tour guider
* I can work in media (part time)
* I can work as house attendant (for example, come in the morning and clean the house, arranging things well, cook and then go to my office, then evening also I can come and finish other works.)
*na kazi zingine zote mnazohisi zitanifaa mimi wa muda wa ziada, I can do

Ukihitaji pia personal assistant wa mambo yako, then I'm good choice for you. I can work in international standards, and act professional .

Basi kwa leo niishie hapa, and may God bless you all.
 
Hongera mkuu kwa hatua uliofikia mambo hayapo kama unavyoyaona urafiki wa kudumu ni mzuri lakini maslahi ya kudumu ni mazuri zaidi urafiki wa masikini+masikini sio sawa na masikini+ tajiri zaidi ni kufarijiana, Tanzania hatuna ujamaa ulishindikana ni free market nation.

Unakila sababu kushukuru kwa unayopitia kwani yatakuimarisha zaidi kuwa vile inafaa na umri pia unaruhusu kupokea mabadiliko. Ukiyashinda matatizo lazima uzawadiwe ubunifu na maarifa ambayo vitakuletea udhubutu na kulazimisha mafanikio
 
Nikweli nahitaji kubadilika, na nimejifunza sasa ndugu. Na kiukweli nilizaliwa familia inayojiweza sana ila after my father kufariki maisha yalibadirika sana, so sometimes kwa sisi teenagers (aye I'm not now) ni vigumu kiasi flani kukubali reality na hii ndo ilinifanya bado nijione ninauwezo wa kusaidia wengine zaidi kumbe sina. Is too sad now I'm facing hard times which I've never think kuwa takuja kupitia
Kiongozi
Kuwa strong

Wewe ni mwanaume
 
vyovyote unavyofanya kumbuka kutunza akiba, walau 20% ya mshahara wako, nidhamu ya matumizi itabadili maisha yako.
 
Ni kweli mkuu, hili ndo talifanyia kazi zaidi, hapa mda huu hata nikiugua ghafla sina hata pesa ya hospital
vyovyote unavyofanya kumbuka kutunza hakiba, walau 20% ya mshahara wako, nidhamu ya matumizi itabadili maisha yako.
 
Yes sure, I must be strong and I will. What I'm trying to do right now is at least to sell some few things at my place ili nimalize shida nilonayo then nianze new life.
Kiongozi
Kuwa strong

Wewe ni mwanaume
 
Ni kweli ndugu shukrani Sana kwa ujumbe na ushauri mzuri. Nautafakari.
Hongera mkuu kwa hatua uliofikia mambo hayapo kama unavyoyaona urafiki wa kudumu ni mzuri lakini maslahi ya kudumu ni mazuri zaidi urafiki wa masikini+masikini sio sawa na masikini+ tajiri zaidi ni kufarijiana, Tanzania hatuna ujamaa ulishindikana ni free market nation.

Unakila sababu kushukuru kwa unayopitia kwani yatakuimarisha zaidi kuwa vile inafaa na umri pia unaruhusu kupokea mabadiliko. Ukiyashinda matatizo lazima uzawadiwe ubunifu na maarifa ambayo vitakuletea udhubutu na kulazimisha mafanikio
 
Back
Top Bottom