Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,501
- 93,059
Kama kuna kosa jema lililofanywa na JF ni kuongeza kale kabuton ka SHARE FACEBOOK, wehu kama huyu muwatalajie kwa wingi tu sasa hivi humu jamvini.
nimejaribu kuisoma kwa kurudia mara tatu thread hii lakini sijaielewa, hata mtoto wa primary school hawezi kuandika Rubbish kama hii. mimi sioni point ya kuchangia humu, ila namshauri siku nyingine awe anatumia buton ya kuedit ili hata akiposti maupupu yake basi angalau watu waweze kusoma tu na kuelewa kile alichoandika.
nimejaribu kuisoma kwa kurudia mara tatu thread hii lakini sijaielewa, hata mtoto wa primary school hawezi kuandika Rubbish kama hii. mimi sioni point ya kuchangia humu, ila namshauri siku nyingine awe anatumia buton ya kuedit ili hata akiposti maupupu yake basi angalau watu waweze kusoma tu na kuelewa kile alichoandika.