Son of Alaska
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 2,812
- 1,055
MANY THANKS,hapa ndio tunachambua pumba na mchele- Kwani what is the buzz? Thabeet ni the World Celebrity sasa some of us tunahitaji ku-get it straight kwamba toka ile Ijumaa aliyochaguliwa number two pick ya NBA, mchezo wa maisha yake ulibadilika pale pale yeye sasa haishi tena under the rules applied to me and you yaani walalahoi, forget it!
- Leo Thabeeet akitaka kwenda White House kumuona Rais wa US, anaweza tena at any of his time hata kwa four hours advanced notice wewe na mimi na hata Rais wetu, hiyo ni ndoto ya alinacha, wacha ya Mfalme Hui hui! Kwa wale mliokuwa hamjui ni kwamba huyu sasa NBA star, maisha yake yanakuwa binded na mkataba wa sheria aliousaini kuichezea timu ya NBA, ile timu ina mamlaka makubwa sana na maisha yake sasa kuliko mtu yoyote mwingine, infact inampatia mpaka washauri wa maisha yake binafsi, maana huyu sasa ni NBA product na kijana mdogo sana, my point ni kwamba tusishangazwe na some of his new behavior and attitude!
- Again, the kid is Multimillionair in US dollars terms, hivi ni wa-Tanzania wangapi waliofikia hiyo milestone at the age of 23? Hata hao mafisadi hakuna wa hiyo age mwenye kufikia huko, sasa give the kid a respect, yes hajacheza NBA bado kwenye full swing, lakini ameshacheza exhibition matches za NBA na wazungu hawajahi kuwa wajinga wa kumsaini mtu wa kumlipa Dola millioni 4 kwa mwaka bila sababu, hizo huwa ni tabia zetu wabongo, madini ya dola millioni 10 tunalipwa dola laki mbili na nusu tu as kodi.
- Waziri wa Tanzania kuwepo au kutokuwepo uwanjani kumpokea ni very minor ishu, infact yeye binafsi hatuhitaji tena ila ni sisi ndio tunamuhitaji yeye as a nation kwa sasa Thabeet automatically anakuwa ni balozi wetu at his will tunaweza kumtumia sana kwa mambo mengi muhimu ya kulisaidia taifa letu, na hasa utalii na misaada mbali mbali kwa wananchi walalahoi kutoka huko nje anakoishi, kwa hiyo kuwepo kwa waziri wetu uwanjani ni sawa sawa, infact alihitajika Waziri Mkuu au Rais kuwepo pale, kama Mutombo anapokwenda Zaire, jamaa amejenga Hospitali ya dola Millioni 22 na ni mcheza mpira tu kama Thabeet, Zaire nzima hakuna tena Hospital kama hiyo, sasa unategemea mtu wa aina hiyo apokelewe na nani uwanjani?
- Kwamba eti serikali inahusika au kutohusika na process ya Thabeet kufikia alipo leo, ni irrelevant to the results serikali yetu haina hata hela za dawa za Malaria itaweza vipi kushugulikia vipaji vya michezo vya wananchi wake? hiyo ni reality ya maisha yetu wabongo una-struggle mwenyewe ukifanikiwa ni haki yako ku-enjoy the results kama Thabeet anavyofanya sasa, work hard on whatever you are doing na wewe itakujia, lakini wivu na chuki haviwezi kukusaidia au kumharibia Thabeet kumbuka amesaini mkataba wa miaka miwili na timu ya Grizzles, kwa Dola karibu Millioni 8 na hizi kwa NBA's rules ni guaranteed money, kwa hiyo hata baada ya hii miaka miwili Thabeet akiamua kutocheza tena he is fine for the rest of his life kama anazo akili za kutunza pesa.
- Kwamba amevaa au hakuvaa nini that is irrelevant, hakushuka bila nguo na ni sheria ipi ya Jamhuri alivunja kwa kuvaa scandals na sox, atleast hakuwa peku peku kama vijana wetu wengi mitaani Dar, binafsi knowing him perosnally as I do ninaamini kwamba alivaa scandals katika safari nzima kutokana na matatizo aliyonayo ya miguu hasa kwenye vidole vyake vya miguuni tatizo ambalo limemtokea toka udogoni mwake kutokana na kukosa viatu vya size yake hapa bongo, kumbuka the guy anavaa karibu size 22 Tanzania mpaka leo hii hatuna viatu vya hiyo size madukani kwa hiyo maisha yake yote amekuwa akihangaika sana na size za viatu na hivyo kulazimika kuvaa viatu ambavyo ni vidogo, matokeo yake ana some fractions katika vidole vyake vya miguu, ndio maana hata anapokuwa US ni mara chache sana kumkuta amevaa viatu as viatu, muda mwingi huwa anavaa hizo hizo scandals, na hii huwa ni ishu na wachezaji wengi wanaotokea Africa, kwa mfano Hakeem Olajuon, Olowokandi na Mutombo ni mara chache sana kuwakuta wamevaa viatu. Kwa hiyo ninasema kuvaa kwake scandals haiwezi kuwa ni ridhaa yake binafsi kwa sababu huwezi kusema ni "cool" kwa standard za mavazi ya vijana US, isipokuwa ni matatizo yake ya afya tu.
I mean, wananchi lets give respect where it is due Thabeet is our national hero, hivi umeshasikia Mkenya, Mganda, Mzambia, au Mzimbabwe huko NBA? Tena serikali yetu ni lazima impatie usafiri na ulinzi wa hali ya juu sana kwa muda wote atakapokuwa nchini, na pia serikali itafute mbinu za kibiashara za kisasa za kumtumia ili alisaidie taifa kwa kutumia jina lake, serikali yetu itengeneze stamps za posta zenye picha yake, nasema now!
Thabeet ni our National hero na he deserves our outmost respect yaani we the people of Tanzania na Africa as a whole! and let the kid be as any other 23 years old kid!
Respect.
Field Marshall Es!