mchajikobe
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 2,652
- 1,238
Nimefurahi sana kusikia huyu hero wetu amerudi salama TZ,lakini nimeshangazwa namapokezi anayoyapata,vipi kuhusu kaka yetu Ivo Mapunda,wote si walienda kutupa ujiko wa Tz au ndio dereva husifiwa abiria wakifika salama tuu?