Songasonga
Senior Member
- Mar 13, 2011
- 152
- 14
Pesa ni shetani hasa usipotarajiA kuipata harafu ukaipata
i dont think huyu dogo yupo bongo right now
Yo Yo at it again na thread zake za kimbeambea. Badala ya kutafuta pesa na nyie mnahangaika kuangalia jirani amekula nini anavaa nini..ha ha ha. Mwacheni dogo ale maisha, hamkumsaidia kupata hiyo hela na wala hana ubia na nyie kwene mikataba yake ya NBA, na wala hajawaomba ushauri.
Kila mtu ana style yake ya kula maisha. Sasa sielewi nyie kinawauma nini mazee.? Hamjamsaidia kuosha viatu vyake wala kufanya laundry sasa iweje leo mjifanye mna-care sana. Toeni upuuzi wenu huu.
Hii ni celebrity forums..kwa maana halisi maisha ya watu yanajadiliwa..asiyetaka ajinyonge.
Akili za kibongobongo, mbona wengine wanapata zaidi ya huo mshahara wake lakini hawafanyi mambo kama hayo, ajitahidi kuwekeza nyumbani kabla hajazeeka.
Dogo katafuta ela kaipata, kaja bongo kutumia, and coincidentally anaongeza mzunguko wa ela na kukuza uchumi, halafu wadaku mnakuja kufungulia thread na kumjadili badala ya kuwa creative ili kuboresha maisha yenu halafu mnakaa kushangaa ati sijui bottomless pit sijui madudu gani, dude are u serious?...with thoughts like these, no wonder Bongoland and Bongomites are where they are, my brother! In the Proverbial Bottomless Pit.
Sasa ulitaka kusema nini? mijitu mingine bwana kichwani mmejaza miuji na miusaha.bwahahahahahaha alafu....
Nimekula wapi matapishi we taahira?dogo una ubongo kama wa kitimoto......umekula matapishi yako leo bwa ha ha ha ha
Dogo katafuta ela kaipata, kaja bongo kutumia, and coincidentally anaongeza mzunguko wa ela na kukuza uchumi, halafu wadaku mnakuja kufungulia thread na kumjadili badala ya kuwa creative ili kuboresha maisha yenu halafu mnakaa kushangaa ati sijui bottomless pit sijui madudu gani, dude are u serious?
Hujui unachoongea.huwezi kujidanganya kwamba unaongeza mzunguko wa pesa, mzunguko wote unaishia kwa mafisadi.
Yo Yo bila shaka uligombania pia hizo nyekundu!