hasara ipo kwa uzoefu wangu ndoa huwa haivunjiki na mara nyingi watu / wapenzi waliozaa huwa wanaendelea kufanya ,mapenzi ya chini chini na unaweza uliza unaambiwa nilikuwa naongea na mtoto wangu hata ukikuta miss call kwa kifupi ni hatari kuoa/kuolewa na aliyeachika akaacha mtoto
nyani ngabu alioa mwanamke mwenye mtoto,mtoto aliumwa majuzi akaamua auguze mwenyewe kisa wivu,ndo mana alipotea jamvini jamaa ana wivu sana jamaa aisee.umepotea mno
wats up?
kijii hivi unaweza wewe kumlala mwanaume mwenzio?Duh! Akija kwangu kumletea mwanae vijizawadi atakipata pata, kwani lazima nimle tigo haki ya nani. Duh nikimwacha ataendeleza ufirauni wake kwa mke wangu wa ndoa, ili kumkomesha dawa nikumla tigo yake ndoo ajue mimi ndo zaidi.
unamuuliza nani?hivi wanamme wangapi wanaoa wakati wana watoto?
unamuuliza nani?
eti inakuwaje ukioa mwanamke ambae alishakuwa na mtoto na huyo mtoto anakaa kwa baba yake inakuwaje siku yule mtoto akiumwa na akalazwa ikabidi mama yake aende akamuuguze. Na endapo utaamua kumlea wewe uliyemuoa mama yake itakuwaje pale baba yake atakuwa anatimba kwako kisa anakuja kumuona mtoto?na kumletea vijizawadi.na matumizi ya mtoto.
Mkuu Kumbe Huku ndio unakimbilia ukishazidiwa kule kwenye jukwaa la siasa?
angalia kibao kisije kikakugeukia
kijii hivi unaweza wewe kumlala mwanaume mwenzio?
Ni sawa na kumwoa mwanamke ambaye hana bikra.