Hasara kubwa mbegu za alizeti (ASA)

Nadhani jamaa angeeleza alipanda kipindi gani cha hali ya hewa , na je alipanda alizeti pekee au alichanganya na mazao mengine katika eneo moja!Mimi nimetumia mbegu ya ASA na nipo Mtwara nipo navuna.aijafanya vibaya wala so vizuri sana ila nimeona inamwelekeo mzuri..
 
Hii habari ina ukakasi mwingi sana........ ingawaje kwa upimaji wa alizeti kwa madebe(ndoo za lita 20 full) kwa kawaida gunia la debe 6 linatakiwa kuwa na kilo walau 55 hadi 80 kulingana na aina ya mbegu, na kukomaa viziri kwa mbegu
Hii ina maana ukikamua utapata wastani lita kuanzia 16 hadi 25 kwa gunia

Sasa hilo gunia la kilo 45 sijui linajazwa kwa muktadha upi. Lakini hata kama ni kilo 45 bado ni ujazo kidogo sana kupata lita 7 tu, labda kama mpepetaji aliamua kutokutoa mapepe kwenye alizeti akayajaza kwenye gunia
Kama ilipepetwa vizuri( 95% iwe mbegu yenye kiini) haiwezekani kupata huo ujazo

Hata hizi mbegu za KIENYEJI ambazo hazina ufanisi haziwezi kutoa mafuta kidogo kwa kiasi hicho

Mimi nimelima eka 20 ASA Singida, na nimekamua gunia moja la debe 6(ingawa sikupima uzito) lakini nimepata lita 20 na point kwa gunia

napata taabu kuamini hii stori kwasababu nimelima na nimeona ubora wake
Lakini pia hata kama wameuza feki ambazo zitakua ni za kienyeji bado huo ujazo ni mdogo sana unless ulijaza mapepe kwenye gunia
 
Habari wana jamvi,

Naomba kujua waliolima alizeti kwa kutumia mbegu za serikali za ASA mafuta zimetoa kiasi gani maana, hasara tuliyopata sye huku tuliolima Songea sio mchezo. Gunia la kilo 45 mafuta yametoka lita 7 tu, hivi hawa watafiti wa hizi mbegu mlisomea chini ya zizi la nguruwe au?
Ilibidi itoe lita ngapi
 
Habari wana jamvi,

Naomba kujua waliolima alizeti kwa kutumia mbegu za serikali za ASA mafuta zimetoa kiasi gani maana, hasara tuliyopata sye huku tuliolima Songea sio mchezo. Gunia la kilo 45 mafuta yametoka lita 7 tu, hivi hawa watafiti wa hizi mbegu mlisomea chini ya zizi la nguruwe au?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hii habari ina ukakasi mwingi sana........ ingawaje kwa upimaji wa alizeti kwa madebe(ndoo za lita 20 full) kwa kawaida gunia la debe 6 linatakiwa kuwa na kilo walau 55 hadi 80 kulingana na aina ya mbegu, na kukomaa viziri kwa mbegu
Hii ina maana ukikamua utapata wastani lita kuanzia 16 hadi 25 kwa gunia

Sasa hilo gunia la kilo 45 sijui linajazwa kwa muktadha upi. Lakini hata kama ni kilo 45 bado ni ujazo kidogo sana kupata lita 7 tu, labda kama mpepetaji aliamua kutokutoa mapepe kwenye alizeti akayajaza kwenye gunia
Kama ilipepetwa vizuri( 95% iwe mbegu yenye kiini) haiwezekani kupata huo ujazo

Hata hizi mbegu za KIENYEJI ambazo hazina ufanisi haziwezi kutoa mafuta kidogo kwa kiasi hicho

Mimi nimelima eka 20 ASA Singida, na nimekamua gunia moja la debe 6(ingawa sikupima uzito) lakini nimepata lita 20 na point kwa gunia

napata taabu kuamini hii stori kwasababu nimelima na nimeona ubora wake
Lakini pia hata kama wameuza feki ambazo zitakua ni za kienyeji bado huo ujazo ni mdogo sana unless ulijaza mapepe kwenye gunia
Kipimo cha gunia kinatofautiana kwa kuwa magunia yana size tofauti, Hapa twende na kilo alizopima, Kilo45 kapata lita 7!
 
Nadhani jamaa angeeleza alipanda kipindi gani cha hali ya hewa , na je alipanda alizeti pekee au alichanganya na mazao mengine katika eneo moja!Mimi nimetumia mbegu ya ASA na nipo Mtwara nipo navuna.aijafanya vibaya wala so vizuri sana ila nimeona inamwelekeo mzuri..
umepata mafuta lita ngapi kwa kilo ngapi? Kuona imestawi tu shambani ni hatua ila fainali ni kiwango cha mafuta
 
Kipimo cha gunia kinatofautiana kwa kuwa magunia yana size tofauti, Hapa twende na kilo alizopima, Kilo45 kapata lita 7!

Ni kweli gunia la nafaka linapimwa kwa ujazo wa ndoo sita zilizo jaa hadi kumwagika au kwa kilo
Wanao nunua kwa wakulima wanatumia ndoo kisha wao wanakwenda kuuza kwa kilo kiwandani

Huwezi kujaza tu gunia ili mradi ni gunia........ kuna magunia ni balaa

Hata hivyo ukichukua wastani wa kilo 65 to 75 ambao unatoa mafuta lita 18 hadi 25 basi kwa makadirio ya chini angepata walau lita 15 kwa hizo kilo 45, na hii ni kwa mbegu duni za kienyeji

Nahisi gunia lake lilikua debe sita ila lilijaa mapepe kwa kuto pepeta vizuri ndio maana amepata matokeo hayo

Ngoja aje kufafanua zaidi tujue tatizo lipo wapi
 
Inshort huku Songea wengi wanalalamika nimeshafanya uchunguzi kwa kina, hata baadhi ya wanunuzi wa alizeti wamestukia dili, hizi alizeti hawanunui tena, wananunua za kienyeji
 
Habari wana jamvi,

Naomba kujua waliolima alizeti kwa kutumia mbegu za serikali za ASA mafuta zimetoa kiasi gani maana, hasara tuliyopata sye huku tuliolima Songea sio mchezo. Gunia la kilo 45 mafuta yametoka lita 7 tu, hivi hawa watafiti wa hizi mbegu mlisomea chini ya zizi la nguruwe au?
Pole mkuu wenzio tunapanda HYSUN sikuhizi
 
Habari wana jamvi,

Naomba kujua waliolima alizeti kwa kutumia mbegu za serikali za ASA mafuta zimetoa kiasi gani maana, hasara tuliyopata sye huku tuliolima Songea sio mchezo. Gunia la kilo 45 mafuta yametoka lita 7 tu, hivi hawa watafiti wa hizi mbegu mlisomea chini ya zizi la nguruwe au?
Nimejikuta nacheka tuuuuuuuu
 
Back
Top Bottom