Mandison
Senior Member
- Mar 10, 2017
- 191
- 109
Wakala wa mbegu Tanzania (ASA) mjitafakari sana! Mliwaaminisha watanzania kuwa mbegu yenu ya alizeti mnayoiita STANDARD ni mbegu bora kumbe ni mbegu ya hovyo kabisa! Ni bora mngeacha wakulima waendelee na mbegu za kienyeji ambazo ni nzuri na zinatoa mazao mengi kuliko huu upuuzi mlioaminisha wakulima kuwa ni mbegu bora na kuwatumbukiza katika hasara isiyo na mfano wake!
Cha kusikitisha ASA wameanzisha group la WhatsApp lakini wameamua kukaa kimya kwa kila changamoto wanayoletewa na wakulima wa alizeti!
Cha kusikitisha ASA wameanzisha group la WhatsApp lakini wameamua kukaa kimya kwa kila changamoto wanayoletewa na wakulima wa alizeti!