Wana JF,
Kwa taaarifa sahiii kutoka kwenye chanzo chetu kutoka huko Arusha kuwa Nape Nnauye Katibu Muenezi CCM kupata jiko lake week ijayo,
Habari zinasema kuwa leo katika Mji wa Arusha katika viwanja vya General Tyre kunafanyika Send off(Party) na Bibi harusi mtarajiwa kwa jina ni Mary Massenge Sherehe hii iatanyika kuanzia jioni saaa Moja leo.
Na baaada ya Send off Week Ijayo Ndio Harusi itafanyika Dar.
Wadau hizo ndizo habari zilizo tufikia to Arusha.
Siku Njema na SEND OFF NJEMA kwa wakazi wa Arusha
Ukiona wanachelewa sana kajirengeshe wakuoe weweWa masenior bachelor wa CDM wanaoa lini?
Ztt and co.
To the best of my knowledge huyu jamaa ana mke na mtoto wa kike wa kama 3yrs hivi. Anafunga ndoa, anahalalisha ndoa, au? Kama kweli yeye anajiita ameokoka na alikuwa anaishi na kimada, basi hii itakuwa mfano mbaya ambao nadhani anajaribu kuweka mambo sawa. Hongera zake!
Nakubaliana na wewe kabisa.
Kwa maneno aliyoyatoa Mwanza, nilianza kuogopa kuwa ataowa MUME WA MTU.
Mtu ajiandae kupandishwa ukutani, teteteeeee.......... Pole samaki poleee.......
Mmm jamani,naona kama sijaelewa maana nilisikia kuwa amemuoa binti wa brig hemedi huyo binti anaitwa Tumaini!!sasa mbona kama sielewi elewi!!
Ita msaidia aache kujichubua.
Mmm jamani,naona kama sijaelewa maana nilisikia kuwa amemuoa binti wa brig hemedi huyo binti anaitwa Tumaini!!sasa mbona kama sielewi elewi!!
Alikuwa anafanya environmental impact assesment mkuu
Wana JF,
Kwa taaarifa sahiii kutoka kwenye chanzo chetu kutoka huko Arusha kuwa Nape Nnauye Katibu Muenezi CCM kupata jiko lake week ijayo,
Habari zinasema kuwa leo katika Mji wa Arusha katika viwanja vya General Tyre kunafanyika Send off(Party) na Bibi harusi mtarajiwa kwa jina ni Mary Massenge Sherehe hii iatanyika kuanzia jioni saaa Moja leo.
Na baaada ya Send off Week Ijayo Ndio Harusi itafanyika Dar.
Wadau hizo ndizo habari zilizo tufikia to Arusha.
Siku Njema na SEND OFF NJEMA kwa wakazi wa Arusha
Acha wivu wa kike au ulitaka uolewe wewe ? ngojea tubadili sheria ya jinsia moja kuoana