Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 4,794
- 3,724
mkuu huyo nape alioa au ni watoto wa kuchakachua mtaani?hata nami najua Nape ana mke na watoto wawili, labda kama anaongeza mke wa pili.
mkuu huyo nape alioa au ni watoto wa kuchakachua mtaani?hata nami najua Nape ana mke na watoto wawili, labda kama anaongeza mke wa pili.
Binti yake brigedia Hemed ndiye mkewe Nape.Kwani huyu nape kule kwa brigedia hemed hakuwa ameoa????
Atakuwa anataka kuongeza wa pili.............. Maana ukicheki wa huko nyumba na wa sasa kasoro wachache............. Mzee ruksa bibi mbili (angalau), JK upande baba, upande mzazi wenzie kadhaa ...............Binti yake brigedia Hemed ndiye mkewe Nape.
Jaman alioa sio nape ni paul makonda na amemuoa mary jana ndo ilikua sendoff yake na week ijayo harusi.mlete habari mkiwa na uhakika.Nape mbona ni mume wa mtu?au atafunga ndoa bomani?au muislamu?