milioni 62 kwa harusi.? Anatoka kwenye familia ya kifisadi au mfanyabiashara mkubwa labda muuza madawa ya kulevya.!
ndio upuuzi wa ngozi nyeusi, Harusi millioni 62 halafu nyumba ya kupanga, wakati millioni 20 unafanya harusi nzuri kabisa.Amepanga nyumba wapi? Sinza kwa wajanja?
wewe acha kuropoka kama pimbi ni nani asiyejuwa kwamba harusi mtu anachangiwa? but why millioni 62 kwa harusi wakati mtu mwenyewe anaanza maisha? hakuna wise man wakunguza hizo pesa na kupewa muhusika kama zawadi ya kuanzia maisha? au ndio yale yale ufisadi hadi kwenye harusi?Hela Kidogo Sana iyo kwa watu hao 1200 alosema....Harusi Michango Jamaani..yani apo Katoa sana haizidi 20%...muwe mnafikiriaaaa
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Wabongo bwana !! Ukiwaambia wachangie elimu utatukanwa sanaa lakini mambo ya anasa utawapata wengi tu.
Anajenga nyumba kinzudi gobba nyumba yenyewe ya kawaida sana tena ipo mabondeni nahaijamalizika naukiingalia haijagarim hata mil kumi sasa hyo mil 62 za harusi alitoa wap,,?
ndio upuuzi wa ngozi nyeusi, Harusi millioni 62 halafu nyumba ya kupanga, wakati millioni 20 unafanya harusi nzuri kabisa.
Ni upuuzi na ukosefu wa akili tu kutamba kwa upuuzi kama huo halafu unafukuzia rushwa za millioni 10. shwain zake.
unamuongelea mama rutashobya?? harusi ya binti yake?? au harusi ya yule kijana wake anayekaa US? kijana bado yupo kwenye ndoa, ila binti alidivorce kitamboooooooo!!!Ila bongo kwa mtu maarufu kama yeye ni kidogo sana. Kuna Dean of student UDSM-Business school aliifanya ya mwanaye mwaka jana iligharimu zaidi ya milioni 100 na bado michango mingine waliikataa