Jamani yapata miezi 8 sasa kuna halufu mbaya nahisi ni makasi yameozeana kwenye njia ya hewa, Nakumbuka jinsi tatizo lilivyoanza,nilipata mafua nikameza codril kidonge 1 tu mafua yakawa kama yamekauka sikuendelea na dawa tena.
Baada ya wk kama 1 particles za mafua yenye halufu zinatoka.Hostpal walinipatia amoxil but hazikusaidia.
NAOMBEN4 MNISAIDIE
Baada ya wk kama 1 particles za mafua yenye halufu zinatoka.Hostpal walinipatia amoxil but hazikusaidia.
NAOMBEN4 MNISAIDIE