Nimebahatika kuhudhuria mikutano ya Jumuia ya kiislam ya Uamsho inayofanyika kwa kasi visiwani Zanzibar
1)Mkutano uliofanyika Makunduchi kusini Unguja. Mwitikio ulikuwa mkubwa . umati wa watu walifurika.Magari kutoka Mjini yalikuwa mengi sana
2)Mkutano wa Uwanja wa Lumumba hivi Karibuni. Huu naufananisha na mkutano wa vyamavya siasa. yaani Umati ulikuwa mubwa. mwitikio ulikuwa mkubwa sana. uwanja huu unaweza kuufananisha na uwanja wa Jangwani Dar.Uwanja huo ulijaa mpaka wengine kukosa nafasi
3)Viwanja vya sebleni jumamosi iliopita. mwitikio ulikuwa Mkubwa sana
WANACHOAMBIA WAZANZIBAR
1)Zanzibar inanyonywa na wazanzibar wajitoe kwa hali na mali kuilinda nchi yao.
2)Zanzibar ijitoe katika Muungano
3)Wanamlaumu Mwalimu Nyerere kwa kuimeza Zanzibar
baadhi ya Umati wa wasikilizji
1)Mkutano uliofanyika Makunduchi kusini Unguja. Mwitikio ulikuwa mkubwa . umati wa watu walifurika.Magari kutoka Mjini yalikuwa mengi sana
2)Mkutano wa Uwanja wa Lumumba hivi Karibuni. Huu naufananisha na mkutano wa vyamavya siasa. yaani Umati ulikuwa mubwa. mwitikio ulikuwa mkubwa sana. uwanja huu unaweza kuufananisha na uwanja wa Jangwani Dar.Uwanja huo ulijaa mpaka wengine kukosa nafasi
3)Viwanja vya sebleni jumamosi iliopita. mwitikio ulikuwa Mkubwa sana
WANACHOAMBIA WAZANZIBAR
1)Zanzibar inanyonywa na wazanzibar wajitoe kwa hali na mali kuilinda nchi yao.
2)Zanzibar ijitoe katika Muungano
3)Wanamlaumu Mwalimu Nyerere kwa kuimeza Zanzibar
baadhi ya Umati wa wasikilizji