Harakati Sasa Basi - Narudi Kubeba Maboksi!

Modeli za maendeleo za Tanzania ni 'evolutionary' na sio 'revolutionary'. Na kwa kawaida michakato ya ki-evolutionary inachukua karne kadhaa kuleta mabadiliko. Tunahitaji watu kama kina Hugo Chavez kuleta 'revolutionary' change!


Haa !!!!!! naona unakaribia ukweli. Lakini za revolutionary sio zinazohitajika. Zinazohitajika ni Engineered Development Models.
 
Wapambanaji wa kweli tunajuana kwa vilemba. Tunashirikiana na kupeana mbinu kwa siri. Hatumwagi mtama kwenye kuku wengi - wa kienyeji na kisasa!

Ujumbe kwa hao wapambanaji mnaojuana kwa vilemba; Mwenzenu kaghafirika mrejezeni kwa upole mna/tunamhitaji bado katika harakati. Maboksi kwa asilimia kubwa ni kwa maslahi binafsi.
 
Companero,

..mimi nasubiri Uchaguzi Mkuu Zanzibar najua vurugu zake zitakuja na dili ya kujilipua ukimbizi.

..hapa nilipo nishatayarisha nauli yaani kama naiona Denmark,Finland,Canada,UK
 
Companero,

..mimi nasubiri Uchaguzi Mkuu Zanzibar najua vurugu zake zitakuja na dili ya kujilipua ukimbizi.

..hapa nilipo nishatayarisha nauli yaani kama naiona Denmark,Finland,Canada,UK
Bonge la deal mkuu!..wala usisubiri kalianzishe mwenyewe..
 
Hivi maboksi yepi yana tija zaidi - ya UK au US? Na elimu je? Maendeleo nayo?
 
Mkandara,

..you think I'm joking.

..tayari kadi ya CUF ninayo.

..halafu nimejilengesha kujiandikisha kupiga kura nimezuiwa.

..ninachosubiri sasa ni uchaguzi ufanyike, halafu maandamano.

..sasa hapo nina jamaa yangu ni mpiga picha wa gazeti fulani.....

..ngoja niishie hapa, lakini nipo serious.
 
To retreat is not to surrender said Bob!


Naam Mkuu na hautakuwa wa kwanza kufanya hivyo. Nadhani utakuwa umefikia uamuzi huo baada ya kulitafakari swala hili kwa urefu na mapana. Kuijenga Tanzania si lazima uwepo Tanzania unaweza kusukuma gurudumu la maendeleo ya Tanzania toka popote pale duniani, pamoja na kwamba mafisadi wanarudisha nyuma gurudumu hilo. Kila la heri.
 
Babu hautakuwa wa kwanza, wamerudi wengi huku, usisikilize wanachosema watu.
Wewe unajijua zaidi.....
 
Mkandara,

..you think I'm joking.

..tayari kadi ya CUF ninayo.

..halafu nimejilengesha kujiandikisha kupiga kura nimezuiwa.

..ninachosubiri sasa ni uchaguzi ufanyike, halafu maandamano.

..sasa hapo nina jamaa yangu ni mpiga picha wa gazeti fulani.....

..ngoja niishie hapa, lakini nipo serious.
Mkuu wala sina shaka na hilo...Wee lianzishe tu watu wengi wataponea hapo kuliko huyu mkuu wangu Companero anayeingia mitini kutafuta box..

Companero,
Mkuu wangu uchumi wa nchi hizi unatisha..usije tu wachukia hata wazungu maanake dunia hii ya leo haiwezi kuwa unavyotaka wewe!.. Jawabu rahisi ingia ktk uchaguzi wa mwaka 2010 CUF na Chadema bado wanatafuta vijana wenye nia na madhumuni kama yako..au anzisha Mafia yako ukichukua kwa matajiri na kuwapa maskini..Mtu kama Rostam/Lowassa unawatoza kodi kila mwezi kwa usalama wa biashara zao.
 
Mkuu nimekusoma vyema tofauti na walio tangulia,
ushauri wangu ni kuwa kabebe boksi Cuba kwa mzee Fidel Castro ama Israel, Ukitoka huko na elimu pamoja na practical ngunguli, utaingia magogoni kiulaaini kama vile
yule DJ kwa kule Madagascar, sio peke yako raia wote tumechoka ikiwa ni pamoja na "geshi la wanainji" wanasubiri starter tu mazee... si umeona mfano mheshimiwa Zombe mwenyewe hana hamu tena na "sirikali" hii..
 
Mkuu wasikudanganye hao....kama watoto wanalala na njaa kabebe boksi tu....ndio maisha hayo.
 
Mkuu naamini una elimu ya juu kabisa uliyoipata huko majuu.
Suala hapa ni uvumilivu , kitu ambacho hakuna chuo kunanachofundisha duniani.Fanya mahesabu yako sawa sawa , kuna oppurtunities nyingi sana za biashara hapa kwetu kuliko kubeba maboksi huko majuu.
Formulate mradi wako na ufuatilie hata miaka mitano, it always gives.Ukitaka kuingia katika siasa au kuajiriwa hilo ni swala jingine kabisa.
 
Naona huyu Companero ni Mwanaharakati kihiyo tu wa mtandaoni ambaye kapumbazwa na nadharia zilizopitwa na wakati za Fanon ambazo kimsingi zinahusu uhusiano wa Weusi na Wazungu enzi za ukoloni.

Ukwasi wa mjini si sababu ya kuamua kurudi Ughaibuni ulikokimbia. Kama kweli ni true Son-of-the-soil na una "ushungu" wa dhati na nchi yako rudi kijijini kwenu ukalime. Kwa Mwanaharakati wa kweli, dawa ya moto ni moto.

That said, the proper course of action for dude right now would have been to hit some bush village and go lead a simple, rural African lifestyle dependent on the fruits of the earth, and harvests of the land and rivers away from the vices and evils of capitalism and White folks. You need to fight fire with more fire dude!
 
Wakuu nadhani Compa anahitaji zaidi kujua specifics za wapi kuna maboksi yanayolipa. Inavyoonekana kuna wajumbe wametumwa kwake(labda) kumshauri juu ya hili la kuacha harakati na kwenda kubeba maboksi.

Ni wapi maboksi yanalipa, na kwa kiasi gani. wazoefu hebu mwageni details. mimi siwezi maana sijawahi kufanya hayo.
 
Mwambie aje huku Quebec au Vancouver kuna kazi ya Kibantu, kupanda miti ya msitu..atatengeneza hadi dollar 500 kwa siku, five days a week..can't beat that!
 
Uhuru wake bendera, huo ndio utumwa
Rais wetu ombaomba, nasi wananchi pia
Uchumi huo twakalia,mafisadi hao jichumia
Kezaji nalo latucheka, madini yetu lachota

Mkuu Companero, this is too deep lakini ndiyo ukweli wenyewe.
 
Ndugu yangu mafanikio yepi? Kwenye maboksi watu wanazamia hata kwa kutambaa. Tena wanajilipua. Wengine wanacheza bahati nasibu ya Kijani!

Shukran, naenda zangu kuvizia bahati nasibu ya kijani...kutambaa ah...siwezi, kujilipua kunahitaji guts ambazo sina...
 
Naona huyu Companero ni Mwanaharakati kihiyo tu wa mtandaoni ambaye kapumbazwa na nadharia zilizopitwa na wakati za Fanon ambazo kimsingi zinahusu uhusiano wa Weusi na Wazungu enzi za ukoloni.

Ukwasi wa mjini si sababu ya kuamua kurudi Ughaibuni ulikokimbia. Kama kweli ni true Son-of-the-soil na una "ushungu" wa dhati na nchi yako rudi kijijini kwenu ukalime. Kwa Mwanaharakati wa kweli, dawa ya moto ni moto.

That said, the proper course of action for dude right now would have been to hit some bush village and go lead a simple, rural African lifestyle dependent on the fruits of the earth, and harvests of the land and rivers away from the vices and evils of capitalism and White folks. You need to fight fire with more fire dude!
Nani kakuambia ukikaa katika kijiji cha Tanzania leo hii utakuwa away from the vices and evils of capitalism? Au hujui kuwa vijiji vinauzwa sasa kwa wawekezaji walime jatrofa, wawinde wanyama na wachimbe madini? Na hicho Kilimo Kwanza ni ndoto ya alinacha, sasa hivi sekta inayoongoza kwa kukua ni minining, ikifuatiwa manufacturing, utalii na ujenzi. Ubepari na Ubeberu umetandawaa kila kona, kuanzia mijini hadi vijijini.


Sheila is one of 258 men, women, and children, from Mtakuja village who were displaced in late July 2007 to make way for an expansion of the Geita Gold Mine. In an interview with Christian Aid, Emmanuel Balitazali recalls "officers from the district came at three in the morning when we were all asleep. They had machine guns and a court order evicting us. We didn't have a chance to pack; they put us in a vehicle and dumped us here." Abdallah Abedi is quoted as saying; "we were moved here like people in a war-torn country, and now we are all tucked into a small place like prisoners who have committed the worst of crimes." One week after this photo was taken the villagers were informed by the local government that they would be evicted all over again from their current campsite. No provisions have been made for them, however, and they have nowhere to go.

Source: Someone Else's Treasure: Tanzania - Photo Essay by Allan Cedillor Lissner

 
Back
Top Bottom