MANI
Platinum Member
- Feb 22, 2010
- 7,320
- 6,376
Inabidi ifike wakati tukubali kwamba ili mtu aweze kuzielewa baadhi ya nyuzi za humu JF basi ni ama awe amebalehe enzi za utawala wa Mwalimu au Mzee Mwinyi....na amechelewa sana labda awe amepata baleghe enzi za Mkapa! Lakini kama ni balehe za enzi za JK, nyuzi za JF ni ngumu kueleweka unless uwe REAL GREATEST THINKER!!!
Mkuu hawa wanafikiri ni fb ambapo watu huandika mistari miwili tu !