Hupendi?
Mbona hela wahesabu weye?
Au hupendi calculus?
sipendi calculus....napenda pesa peke yake....
mkuu natumai Pai katika vile vipenyo vyetu...kupata mzunguko kamili...wewe je?
Sidhani, ilikuwa bahati mbaya tu.Dah!hv kwanini walimu wanaofundisha hesabu huwawakorofi na wanachapa bila mpangilio?Mwalimu wangu wa hesabu aliniharibia kipaji changu nilikuwa mkali.
Kwa sababu wanawake wamekuwa socialised kuwa, vitu vinavyohitaji bidii au akilio ni kwa ajili ya wanamme.maths-muhogo mchungu!
Ila nashkuru ilikua inapanda, w'ke wengi tunabwagwa na w'ume kwenye maths hata sijui kwa nn???
Umeona Canta, hata kumuiba Rejao ulitumia Topic la Logic.Maths NO aisee japo haikwepekeki maishan!!
Iko kichwani kwako tuu
Ni kama kiswahili au jografia kabisa.
Sema hesabu ina wivu kama mpenzi
Usipomjulia hali kwa muda mrefu anazira kabisa.
Nimesikia katika vyombo vya habari
Leo Tarehe 14 March 2012 ni siku ya hesabu
Changamoto iliyosema ni pamoja kwa ufaulu wa hisababi kuendelea kushuka Tanzania
Inabidi tuhimize kizazi hiki kipende hesabu.
Happy Maths Day!
Hahaha umenifurahishaje Kong..., eti inawivu kama mpenzi...
Hesabu ni ugonjwa wa taifa...
Hawa walimu wa voda fasta nao ni kuwabebesha mzigo mkubwa kuliko wanachoweza fanya.
Nadhani hisababi haina kipaumbele tena.
Kumbuka zamani kulikuwa na kitabu cha hisabati za kiwetu, darasa la saba bila kukimaliza hicho kabla ya mtihani anajiona hajafanya lolote. Watoto walikuwa na competition nyingi sana.