Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,088
- 6,368
- Thread starter
- #141
Hivi Sinziga... Sangara... wakwap??? Maana Birthday boy najua yupo na home kwetu...
Nimerudi dada...SEACOM wamerudia tena na nalazimika kuingia kwa mobile.
Hivi Sinziga... Sangara... wakwap??? Maana Birthday boy najua yupo na home kwetu...
...Now you are talking.
Mpango mzima pale kati, Super
Tangazo: Wageni 20 wa kwanza kuingia Peacock, for this party, mnidai Zawadi. Nimeiandaa
Hahaha!!! Kumbe sikuwa peke yangu lol!!!Nimerudi dada...SEACOM wamerudia tena na nalazimika kuingia kwa mobile.
...i got feeelin, huuuuuuuuuuu hu.hahahahahah ..
now you can start singing .. coz tonight is gonna be an awesome night ..
The Black Eyed Peas - I Gotta Feeling - YouTube
That tonight it's gonna be nasty lol...i got feeelin, huuuuuuuuuuu hu.
hahahaha lol
najua atakataa ...
atasema Dena hajanipa kitu ...
Yaani nilijua utanikanaKweli tena sijapewa chochote niliongea tu na Dena
Hahaha!!! Kumbe sikuwa peke yangu lol!!!
Mkuu wapuuzi sana kabisa hawa wamenirusha stimu kabisaHuu mkonga umeniharibia siku kabisa
Khaaaa! Shemeji mbona ilitakiwa kuwa siri hii
Kuna elite forces zamlinda SL wangu...
...Asante saana Babu,Hapa kuna mtoto kazaliwa siyo?
Kuna mtu kati yenu anaweza kuja ki=uniambia kwanini ODM hakupewa hizi habari mapema.........
Wakati nikimtakia Kivumah heri ya siku yake ya kuzaliwa, Naenda kaunta kulewa then narudi hapa kucharaza watu bakora.
Kaizer popote pale ulipo, naomba mwongozo wako manake ndo hivyo tena tushapata sababu ya kulewa leo.
..Thank U Mkuu wangu. Nimependa ujumbe ktk msghappy birthday Kivumah!, Mwenyezi Mungu akuongoze kwa kila unachokifanya, akupe maisha marefu yenye hofu yake.