The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
Naomba mnielekeze hivi stoo ya vinywaji iko upande gani nataka kwenda kuhakikisha kama vinywaji vinatosha jamani
Sawa najua atakubali hana neno navyomjua
mi hiyo avatar yako imenivutia..
ntakuomba tucheze kidoncho kwenye party
ukipata nafasi .... na kideku cha wanzuki kwa pembe
hahahaha lol ..
The Following User Says Thank You to zumbemkuu For This Useful Post:
afrodenzi (Today)
Kweli tena sijapewa chochote niliongea tu na Denahahahaha lol
najua atakataa ...
atasema Dena hajanipa kitu ...
..Thank u Mkuu. PamojaHappy Birthday
sihitaji mtu anisindikize kwenye stoo ya vinywaji naweza kwenda mwenyewe AD na Dena nipe tu direction basi inatosha
ahahaahahaha! dah! usinipandishe mzuka saizi kabla party haijaanza, pombe yenyewe bado haijaiva vizuri kwenye mitungi.
Kweli tena sijapewa chochote niliongea tu na Dena
Umeniweka V.I.P ili unikomoe lolMy dear im so sorry
lakini we haupo kwenye idara ya vinywaji ..
we na Kaizer .. Hapana..
Nyie njoeni tu kama V.I.P basi ..
hahahah lol
Thank U Buraza. umepata kadi ya Mwaliko wa party?. Muone Afro DHappy birthday!!!
..yaani mnanitamanisha tu hapa, Muda wa Party haufiki!!!!!!Hivi Sinziga... Sangara... wakwap??? Maana Birthday boy najua yupo na home kwetu...
HAppy Bday Kivuma na hongera kwa kugonga hapo...kama alivosema Sangara akimnukuu Lincoln, kitakachotukumbusha uwepo wako ni maisha uliyoishi sio umri!
Love AshaDii hebu tujiandae twende...today I want you to have that look that kills me off...nitakuwa na ile pistol kama kawaida just in case
..Thank u Bro.Happy Birthday mkuu....
nasikia kuna party wapi hiyo???
au ni porojo za jamvini?
wewe na JK siku moja anyway long live mkuu
I'll pass by to pick up your dress and the cocktail bottle