Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
- Thread starter
- #61
Mkuu grafani11 itakuwa sio Rahisi kuingia chumbani kwangu mlango wangu huwezi kufunguwa mpaka uwe na Kadi maalumu ya kufunguwa mlango unatumia Kadi sio ufunguo.Mheshimiwa, akitokea mtoto wa kiume wa jirani yako akaingia humo chumbani halafu kwa bahati mbaya akashindwa kufungua mlango wako wa kisasa na kulazimika kukojolea ukuta wako utafanyaje?
Last edited by a moderator: