FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
me like it
....chumba kinapendeza na kina hewa ya kutosha ,,
....chumba kinapendeza na kina hewa ya kutosha ,,
usijempa tu soseji akaharisha mtoto wa watu.Mkuu Soki hayo maandishi maaan yake ni hivi kwa lugha ya kiswahili (KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU) Shetani hawezi kuingia nyumbani pangu ninapoishi ukiweka hayo maandishi shetani hawezi kupasogelea hapo karibu na hicho kitanda changu.
bibie kuberwa karibu unakaribishwa utakula kila kitu matunda ya kila aina Bia hakuna wala junk food hakuna utakunywa juice za orignal sio feki karibu unakaribishwa.
Mkuu Mbuzi Mzee Unakaribishwa kwa mikono miwili karibu ukaribie kaka.
kwa sababu hawana
imani nao hayataweza kuwasaidia hayo maandishi ikiwa huna imani nayo mimi nina imani na hayo maandishi nina imani na
Quran na biblia pia nina imani nayo zote zinanisaidia na hakuna kitu kitachoweza kunishinda mkuu Soki nina silaha kuu mbili
Biblia na Quran siogopi kitu ila nina muogopa Mwenyeezi Mungu tu ndio ninayemuweka mbele kwa kila kitu naye ndie ni mlinzi wangu mkuu.
Chumbani kwangu hapo munasemaje wabongo???????????????
Mkuu Karikenye nimesema chumbani kwangu kwani siwezi kuwa na chumba kama hicho mkuu?kipo simple tu hakina vitu kibao si unajuwa chumba cha mtu mmoja bachelor . hiyo ni ulaya bwana sio Uarabuni.MziziMkavu hapo Sio OMAN kweli kwenye chumba cha mpambe mmoja? Au na wewe ni mpambe... be honest bana!!
Mkuu philipo kidwanga atapewa kila kitu kasoro Bia na kitomoto haviwezi ingia chumbani pangu.usijempa tu soseji akaharisha mtoto wa watu.
Bibie FirstLady1 thank you unakaribishwa bibie karibu sana.me like it
....chumba kinapendeza na kina hewa ya kutosha ,,
Mheshimiwa, akitokea mtoto wa kiume wa jirani yako akaingia humo chumbani halafu kwa bahati mbaya akashindwa kufungua mlango wako wa kisasa na kulazimika kukojolea ukuta wako utafanyaje?
Chumbani kwangu hapo munasemaje wabongo???????????????
bibie firstlady1 thank you unakaribishwa bibie karibu sana.
mkuu Soki Zingine nimezificha mkuu huwezi kuziona ukisha ziona silaha zangu hutaniogopa silaha nzuri ni ile isiyo onekana.
Mkuu Karikenye nimesema chumbani kwangu kwani siwezi kuwa na chumba kama hicho mkuu?kipo simple tu hakina vitu kibao si unajuwa chumba cha mtu mmoja bachelor . hiyo ni ulaya bwana sio Uarabuni.
Bibie FirstLady1 Unakaribishwa kwa Raha zako karibu bibie wewe ni FirstLady1 kwanini usikaribishwe.h a ha nakaribishwa ?