trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
Leo ni mkesha wa mwaka mpya wa Watu wa China..
Wachina sehemu mbalimbali duniani wamekuwa wakirudi kwao kusheherekea tukio hilo kubwa sana kwao.
Sasa nauliza kwa wale mlio nao hapo Mitaa ya Swahili,na mingine ya Kariakoo,vipi wamepungua?
Wachina sehemu mbalimbali duniani wamekuwa wakirudi kwao kusheherekea tukio hilo kubwa sana kwao.
Sasa nauliza kwa wale mlio nao hapo Mitaa ya Swahili,na mingine ya Kariakoo,vipi wamepungua?