njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Huyu manzi wa Kenya ni hatari kwa wanaofatilia soka la Wanawake Afrika Mashariki watakubaliana nami, mwaka jana kwenye CECAFA Tournament pale Nairobi akiwa na Vihiga Queens alikuwa hatari kama uliwahi kushuhudia uchezaji wa Edibily Lunyamila au Dua Said basi ndiye huyu binti.
Hata Harambee Starlets ni mchezaji wa kutegemewa, sasa I hope huyo Mkenya goalkeeper (RUFA) ataleta ushindani kwa Gelwa hapo golini na yule namba tano Daniella aliyekimbia kutokulipwa mshahara utopoloni apunguze uzito pia
Sijui usajili umeisha au la, lakini kama angepatikana striker mweye calibre za yule mhabeshi ingekuwa hatari sema hata kwa kikosi hiki nina matumaini simba queens kufika nusu fainali CAFWCL huko moroko
Asha Djafari watch out huyu binti wa kikenya na mguu wake wa kushoto ni hatari sana kasi na mashuti ndo zake*****
Hata Harambee Starlets ni mchezaji wa kutegemewa, sasa I hope huyo Mkenya goalkeeper (RUFA) ataleta ushindani kwa Gelwa hapo golini na yule namba tano Daniella aliyekimbia kutokulipwa mshahara utopoloni apunguze uzito pia
Sijui usajili umeisha au la, lakini kama angepatikana striker mweye calibre za yule mhabeshi ingekuwa hatari sema hata kwa kikosi hiki nina matumaini simba queens kufika nusu fainali CAFWCL huko moroko
Asha Djafari watch out huyu binti wa kikenya na mguu wake wa kushoto ni hatari sana kasi na mashuti ndo zake*****