Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
tatizo ni kujionyesha zipo. Hivi kweli wewe unanisomesha kama nani yako? kama umenipenda na darasa la saba langu wewe nipe moyo ili nikaombe funds kwingine nisome mwenyewe. Mapenzi yako ya aina nyingi, usifikirie kunipeleka shule ndiyo utanifanya mimi nione huruma eti kwa sababu nimekusomesha.
Wanaume ebu invest kwa wadogo zenu, ndugu wa karibu, na watoto yatima labda unaweza pata thawabu, kwa mkubwa mwenzio kama mimi umekula wa chuya.Umenisomesha ndiyo, akaja mwenye kununua nyumba na gari la kifahari Range sport, why do I keep you? Nakumwaga bila huruma. inawezekana dada yako alikosa hata hela ya kumsomesha na umekaa kimya sasa una invest kwa demu, unataka huyo Mungu wako akuangalie tu ukifanya ujinga kama huo, shetani lazima avuruge. Kaeni chonjo.
Wanaume ebu invest kwa wadogo zenu, ndugu wa karibu, na watoto yatima labda unaweza pata thawabu, kwa mkubwa mwenzio kama mimi umekula wa chuya.Umenisomesha ndiyo, akaja mwenye kununua nyumba na gari la kifahari Range sport, why do I keep you? Nakumwaga bila huruma. inawezekana dada yako alikosa hata hela ya kumsomesha na umekaa kimya sasa una invest kwa demu, unataka huyo Mungu wako akuangalie tu ukifanya ujinga kama huo, shetani lazima avuruge. Kaeni chonjo.