Wakaka tupeni kila kitu kwa volume,quantity and quality mnayoweza iwe pesa, gari, tununulieni nguo,viwanja incase kabla ya kutuoa rasmi (kuishi pamoja)
ila musifanye hili
Msitusomeshe/Lipia gharama za kozi ndefu (miaka miwili kuendelea form 5&6,Diploma,degree kwa kuongozwa na mapenzi ya LOVE (not yale ya Agape)ahadi za ntakuja kuwa mkeo.
Nimegundua wakaka wengi hutaman kufa pindi wanaposalitiwa na wadada waliowalipia gharama za masomo kuliko hata waliwasaidia mambo wengine hata kama yana gharama kubwa kuliko masomo.
My take:Ukimsomesha mdada anza kufanya mazoezi ya kuzuia BP kubwa manake kuna siku kitawaka tu.
good pointLakini mimi jamani kuna kitu najiuliza.
Hivi kaka unampenda mtoto wa form one, unamsomesha kwa malengo ya kuoa huoni kama huyu dada ni mdogo na akili yake inabadilika kadiri anavyokua na anavyozidi kukutana na watu wa aina mbalimbali?
Sio kweli kwamba moyo wa huyu binti utakuwa umefanya maamuzi thabiti kwamba wewe ni mume wake!! Hata kama wakati huo atajiona hivo, lakini naamini kuna kipindi atawaona watu wanaomvutia na anaowapenda yeye kwa nafsi yake mwenyewe. Na ufahamu wake uliokomaa kwa wakati huo.
Kwa upande mwingine binti wa hivi simlaumu hata kidogo. Bora hata wa chuo.....na hata wa chuo bora umuoe ujue unasomesha mke wako. Vinginevyo msaidie tu kama mwanadamu wa kawaida ikitokea akawa mke, unashukuru.
Kaka Pole, sijui kuna nini ndani ya hii? Wengine huwasomesha wadada kuliko walivyosoma wao, Na kuishia Maumivuni.
unajua gaga mwanzoni mnakuwa wapenzi (mke mtarajiwa)ndio anaamua kukulipia ada sasa tatizo linakuja pale unapobadili mawazo baada ya kugradueti.Tuliosomeshwa sijui tuchangie nini humu, ngoja nitarudi. ila nachojua kutoa msaada huwa hutakiwi kutegemea malipo ya kitu fulani, iwe ndoa urafiki au chochote
Wakaka tupeni kila kitu kwa volume,quantity and quality mnayoweza iwe pesa, gari, tununulieni nguo,viwanja incase kabla ya kutuoa rasmi (kuishi pamoja)
ila musifanye hili
Msitusomeshe/Lipia gharama za kozi ndefu (miaka miwili kuendelea form 5&6,Diploma,degree kwa kuongozwa na mapenzi ya LOVE (not yale ya Agape)ahadi za ntakuja kuwa mkeo.
Nimegundua wakaka wengi hutaman kufa pindi wanaposalitiwa na wadada waliowalipia gharama za masomo kuliko hata waliwasaidia mambo wengine hata kama yana gharama kubwa kuliko masomo.
My take:Ukimsomesha mdada anza kufanya mazoezi ya kuzuia BP kubwa manake kuna siku kitawaka tu.
najitolea kukusomea Pm zote. Mwanafunzi hutakiwi kuchoka kabla hujaanza shule. Sawa eeh.