Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,870
- 155,832
Hapa ndio sehemu pekee inayonipa raha kululiko sehemu nyingine yeyote ile mtandaoni ambayo watu huwa wanajumuika na kuongea mawazo yao.
Hapa ndipo ambapo nimepata marafiki wapya wenye mawazo mapya kwa ajili yangu na kizazi changu kijacho.
Hapa nimeona watu wakitofautiana maneneno na mawazo, nimeona pia watu wakiombana msamaha na kusameheana, hii inaonyesha watu wamepuvuka kiasi gani.Hapahapa nimeona watu wakitafuta wachumba , naamini hapa hapa zitatoka ndoa bora sana katika jamii yetu.
Mungu ibariki JamiiForums ili iwe bora zaidi kuliko sasa ili tuendelee kuifaidi zaidi.
Hapa ndipo ambapo nimepata marafiki wapya wenye mawazo mapya kwa ajili yangu na kizazi changu kijacho.
Hapa nimeona watu wakitofautiana maneneno na mawazo, nimeona pia watu wakiombana msamaha na kusameheana, hii inaonyesha watu wamepuvuka kiasi gani.Hapahapa nimeona watu wakitafuta wachumba , naamini hapa hapa zitatoka ndoa bora sana katika jamii yetu.
Mungu ibariki JamiiForums ili iwe bora zaidi kuliko sasa ili tuendelee kuifaidi zaidi.