Edo kissy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 1,932
- 5,399
Habarini
Sijui kuandika sana kiufupi ipo hivi.
Leo nilikuwa na mmoja wa rafiki zangu sasa wakati wa story za hapa na pale jamaa si ndo akanisimulia kuwa juzi alikuwa na pisi yake room kwa hiyo akawa kapiga mzigo kama nusu saa hivi kitu ikalala kabisa. Akatulia usiku tena akamshtua akapiga kama dakika kumi kitu ikalala so jamaa anaona hajamfaidi demu wake kabisaa ndo akawa ananiuliza shida ni nini ett.
Mimi nikamjibu iatakuwa hana hisia na huyo mwanamke.
Kwa hiyo mnisaidie mawazo au shida ni nini mtu 5 unapiga nusu saa tu mzigo unalala na mwamba anaona hajafaidi kabisaa
Pia demu wake baada ya mechi akaanzaa kumwambia mwamba eti mimi sitaolewa ila nataka tu mtoto kutoka kwako mara nakupenda tu wewe ila sitaki kuolewa na hapo ndo mwamba akaona kama kazingua zaidi.
mzabzab
dronedrake
Red black
DungaMawe
Naombeni mawazo na ushauri wenu wakuu.
Natanguliza shukurani 🙏😊
Sijui kuandika sana kiufupi ipo hivi.
Leo nilikuwa na mmoja wa rafiki zangu sasa wakati wa story za hapa na pale jamaa si ndo akanisimulia kuwa juzi alikuwa na pisi yake room kwa hiyo akawa kapiga mzigo kama nusu saa hivi kitu ikalala kabisa. Akatulia usiku tena akamshtua akapiga kama dakika kumi kitu ikalala so jamaa anaona hajamfaidi demu wake kabisaa ndo akawa ananiuliza shida ni nini ett.
Mimi nikamjibu iatakuwa hana hisia na huyo mwanamke.
Kwa hiyo mnisaidie mawazo au shida ni nini mtu 5 unapiga nusu saa tu mzigo unalala na mwamba anaona hajafaidi kabisaa
Pia demu wake baada ya mechi akaanzaa kumwambia mwamba eti mimi sitaolewa ila nataka tu mtoto kutoka kwako mara nakupenda tu wewe ila sitaki kuolewa na hapo ndo mwamba akaona kama kazingua zaidi.
mzabzab
dronedrake
Red black
DungaMawe
Naombeni mawazo na ushauri wenu wakuu.
Natanguliza shukurani 🙏😊