Hamisi Taletale na PhD ya USD 2,500

Ifike wakati huu udaktari na uprofesa wa kujibandika ubaki kwa waganga wa kienyeji na wasanii, vinginevyo tutazidi kuchanganya mambo.....

Mimi mwenyewe ni mchawi sasa nataka Doctoral kwa Uchawi wangu!
Sijui niende nchi gani ili nipewe?
 
Ujinga wako tu. Newton alipewa uprofesa na kufundisha chuo kikuu akiwa hana hata shahada ya kwanza; kilichozingatiwa ni uvumbuzi wake wa nguvu ya uvutano (gravitational force) na mengine yakiyofuata.

Diamond alianza muziki kwa wimbo wake maarufu wa Mbagala, mbele ya nyumba jalala. Huyu babu Tale aliyemuibua Diamond toka jalalani mbagala kumfikisha hapa alipo kuna ubaya gani kutunikiwa udaktari wa heshima?

Mbona hawa wanaoliangamiza taifa wakipewa hizo heshima hamsemi?

Have we lost our civility to this extent?

Acheni wivu. Babu Tale more than deserves that honor.
Acheni kujificha kwenye mafanikio ya diamond kuhalalisha hiyo ph.D yenu uchwara ya TaleTale yaani seriously unatoa mfano wa Newton na Babu tale!!..

Mafanikio ya Diamond ni juhudi zake binafsi na kuwa na kipaji cha uvumbuzi na sio kwa juhudi za TaleTale wala yeyote yule,wewe jiulize kabla ya Diamond TaleTale alikuwa meneja wa muda mrefu sana wa Madee,Pingu na Deso,Tundaman,Mb Dogg na wengine kibao hao aliwafikisha wapi!? Mbona alishindwa kuwafikisha hao kimataifa!?

Yaani katika wasanii 20 aliowahi kuwasimamia ni mmoja tu ndio katoboa kimataifa then unampa reputation ya kwamba kafanya makubwa kwenye tasnia..Hapo ukifanya success rating ni 10/100 ya mia ambayo hadi hapo ni fail na ndipo tunaporudi kwenye hoja kwamba kutoboa kwa mond ni juhudi zake binafsi mostly
 
Yamesaidia nini kwenye maendeleo ya nchi kwa ujumla na raia mmoja mmoja?! HUNA AKILI KABISA WEWE!


huyo diamond anakusaidia nini wewe?! Au alijenga shule watoto wa masikini wakasoma bure?!


Kuchaguliwa kwake bila kupingwa kumewahi kukunufaisha nini wewe au taifa kwa ujumla?! We ni raia wa jimboni kwake?! Fikiri na uongee kama umepevuka kiakili. Ndo alijisemeaga MIRAJI KIKWETE..., "wabongo wengi waliokataa kujitambua na kujielewa hutumia matako kufikiri"
Usingenitukana coz siyo mimi nimesema ni babu tale mwenyewe kasema.

Diamond analipa kodi ya zaidi ya billion 1 kwa mwaka.
 
Dr. Honorable Hamis Shaban Taletale

Noma sana pesa inanunua kila kitu sio PhD tu hata Degree wananunua na wanaajiri wahitimu FAKE (wa mchongo) kila angle
Ndio maana wasomi wa kibongo wanadharauliwa. Hawana uwezo wa kuajiriwa nje ya Tz. Wataendelea kuajiriana humu humu kimchongo
 
Mambo ya humu ukiyafuata utajisumbuwa tu, kuna watu wanatembea Kwa kichwa humu badala ya miguu.

Sasa usishangae mtu yupo speed 120 huku anaperuzi JF.
Najua mkuu. Maana yake kajieleza kwa namna watu wajue.
 
Biashara ya PhD ya heshima inalipa. Nafungua kibanda cha kuuza PhDs za heshima kwa watanzania wote bila kujali tabaka au chama. Bei pendekezo Tsh 5000 tu per PhD. Tanzania oyee.
 
Usingenitukana coz siyo mimi nimesema ni babu tale mwenyewe kasema.

Diamond analipa kodi ya zaidi ya billion 1 kwa mwaka.
Sawa yeye ndo kasema... wewe kwanini utuletee hapa kauli hiyo ya kipuuzi?! Bilioni moja "1" anayolipa huyo bwana inakunufaisha wewe au walalahoi wa taifa hili unafkiri?!
 
Back
Top Bottom