The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,447
- 10,238
Hii hesabu hamna.3-6 hours
Hii hesabu hamna.3-6 hours
Dk 40Kwa kawaida ni mwendo wa dk ngapi?
Km 46 utembee masaa 6?3-6 hours
Kaamua Kupika Data kujifurahishaBro hapa umedanganya ujue. Huo si ni mda wa Kibondo Mwanza kabisa.
Mkuu asante kwa hii post japo ni ya kusikitisha sana. Na jamii nayo ina makosa. Walikuwa wanampamba na majina badala ya kuchukuwa hatua ikiwemo kususia gari lake.Ameumaliza kijinga Sana na ameua raia kipumbavu
3-6 hours
Mkuu macho,Mkuu asante kwa hii post japo ni ya kusikitisha sana. Na jamii nayo ina makosa. Walikuwa wanampamba na majina badala ya kuchukuwa hatua ikiwemo kususia gari lake.
Daa. Wanasema majuto ni mjuukuu. Asante kwa fundisho hili.Mkuu macho,
Yupo jamaa ni bodaboda ssahiv hana miguu yote alikatwa.
Na yeye alikuwa hivi hivi, rafiki wa karibu wakawa wanamuambia ndugu acha yule jamaa ni mpemba, lakini kuna wale wanafki wanasema unajua sheikh
Alipata ajali ile miguu ulikuwa kama mlenda ukimshika, amekatwa miguu yote sahiv yupo tu kwenye kibaiskeli.
Vijana ukweli hatusikii na wala hatutaki kuambiwa.
Kuna mwamba mmoja anasema,Job true true"Siku nikipata ajali ni lazima niondoke na abiria wote."
Kazi kweli kweli.
Kuna mwamba mmoja anasema,Job true true"Siku nikipata ajali ni lazima niondoke na abiria wote."
Kazi kweli kweli.
Noma sana man...ila ni probox...yaani sehemu popote nikifika nikakuta usafiri ni mchomoko amani huniisha kabisa. Hili jina silipendi balaa. Inaashiria mwendo kasi tupu.Daah hiyo Noah imekua chapati kwa mazingira hayo kupona ni ngumu sana...
Aah kama ni Probox nayo ni balaa inatembea mno harafu gari ya chini kuona kona na gari ya upande mwingine ikiwa mwendokasi inataka mtu kweli...nasikia hizo gari za kibondo zinaruka sio kukimbia kumbe wanaziita Mchomoko...Noma sana man...ila ni probox...yaani sehemu popote nikifika nikakuta usafiri ni mchomoko amani huniisha kabisa. Hili jina silipendi balaa. Inaashiria mwendo kasi tupu.
Mimi humuangalia kwanza Dereva muonekano na uongeaji wake. Ukiona ni mtu mzima kabisa, basi amani inakuwepo.Noma sana man...ila ni probox...yaani sehemu popote nikifika nikakuta usafiri ni mchomoko amani huniisha kabisa. Hili jina silipendi balaa. Inaashiria mwendo kasi tupu.