Hamas Official: There are no Palestinian People. They are Egyptian and Saudis



Huu ndio ukweli, Wapelestina waimbisha ulimwengu kuhusu wao ni nani, Wameipindisha historia na kufanya Uongo kuwa Ukweli.

Sehe hiyo kuitwa Palestina hiyo ni kweli, Utawala wa Warumi uliitwa sehemu inayoitwa Judea Karibia Karne ya pili CE. Na baada ya hapo, sehemu imetawaliwa na watu wengi mno, Utawala wa mwisho ni Ottoman Empire ambao ulitwala kwa miaka karibia 402 na kuondoka baada ya kushindwa vita vya kwanza 1918, Mandate ya Waingereza iliingia kuingalia na kuisimamia sehemu hiyo inayoitwa Palestine na maeneo mengine kama Trans Jordan, Lebanon, Iraq...In actual sense Mwingereza ndio katengeneza mataifa hayo....

Waarabu waliokuwa wakiishi maeneo hayo walikuwa wanaitwa "Arabs" Miaka yote ya kuwepo kwao mahali hapo, Na hata Partition ya UN Resolution # 181 ya 1947, Iligawa nchi huyo ya Palestina kwa "Arabs" na "Jews" . Utambulisho wa "Wapelestina" umezaliwa miaka ya 60 tu na PLO iliyoanzishwa na Waarabu kutetea haki za Waarabu waliko mahali hapo.

Zuheir Hussein kiongozi wa PLO mwaka 1977 aliiweka vizuri alipohojiwa na gazeti la Kidachi, Truth.....


  • The Palestinian people do not exist. There are no differences between Jordanians, Palestinians, Syrians and Lebanese. We are part of one people, the Arab nation. Lo and behold, I have relatives with Palestinian, Lebanese, Jordanian and Syrian citizenship. We are one people. It is only for political reasons that we carefully endorse our Palestinian identity. Indeed, it is of national interest for the Arabs to encourage the existence of the Palestinians in the face of Zionism. Yes, the existence of a separate Palestinian identity is only for tactical reasons. The establishment of a Palestinian state is a new means to continue the struggle against Israel and for Arab unity.
 
Unatumia nguvu mpaka unakimbia nyuzi zako ,unatafuta documentary zipo against unakuja na assumptions zako mda huo kuna wagalatia wenzio pale makanisa yao wanavunjwa 😅😅.

Jamaa zako hata DNA hawataki kupima ni watu wa mchongo.

Toa zako mkuu Accumen....Mbona ziko nying mno! ....Ni mimi nimeitengeza hiyo....Leta zako Mkuu....Jamii Forum haina ubaguzi....
 
Unatumia nguvu mpaka unakimbia nyuzi zako ,unatafuta documentary zipo against unakuja na assumptions zako mda huo kuna wagalatia wenzio pale makanisa yao wanavunjwa 😅😅.

Jamaa zako hata DNA hawataki kupima ni watu wa mchongo.

Ni fact ya historia...Leta zako Mkuu....Nitakusaidia ukitaka.....Na hata mimi mwenyewe nitaleta the Contra views.....Ukitaka ....Ili kila mtua aamue mwenyewe.....Nitakusaidia kuleta Palestianis views....
 
Huwa sifuati Propaganda.....Kitabu hiki Side by Side....Wapelestina wanazuoni walikaa kwa pamoja wakaandika mitazamo yao........Wakaenda hatua kwa hatua, miaka na miaka.....ni wewe tu kuchagua view ipi unayoiamini...

1708793106371.png


Sifuati propaganda za Tiktok........
 
Unatumia nguvu mpaka unakimbia nyuzi zako ,unatafuta documentary zipo against unakuja na assumptions zako mda huo kuna wagalatia wenzio pale makanisa yao wanavunjwa 😅😅.

Jamaa zako hata DNA hawataki kupima ni watu wa mchongo.


Na hii Partition ya UN 1947 ni mchongo? Just "Arabs" na "Jews" State.....Ni Propaganda?

1708793536213.png
 
Huu ndio ukweli, Wapelestina waimbisha ulimwengu kuhusu wao ni nani, Wameipindisha historia na kufanya Uongo kuwa Ukweli.

Sehe hiyo kuitwa Palestina hiyo ni kweli, Utawala wa Warumi uliitwa sehemu inayoitwa Judea Karibia Karne ya pili CE. Na baada ya hapo, sehemu imetawaliwa na watu wengi mno, Utawala wa mwisho ni Ottoman Empire ambao ulitwala kwa miaka karibia 402 na kuondoka baada ya kushindwa vita vya kwanza 1918, Mandate ya Waingereza iliingia kuingalia na kuisimamia sehemu hiyo inayoitwa Palestine na maeneo mengine kama Trans Jordan, Lebanon, Iraq...In actual sense Mwingereza ndio katengeneza mataifa hayo....

Waarabu waliokuwa wakiishi maeneo hayo walikuwa wanaitwa "Arabs" Miaka yote ya kuwepo kwao mahali hapo, Na hata Partition ya UN Resolution # 181 ya 1947, Iligawa nchi huyo ya Palestina kwa "Arabs" na "Jews" . Utambulisho wa "Wapelestina" umezaliwa miaka ya 60 tu na PLO iliyoanzishwa na Waarabu kutetea haki za Waarabu waliko mahali hapo.

Zuheir Hussein kiongozi wa PLO mwaka 1977 aliiweka vizuri alipohojiwa na gazeti la Kidachi, Truth.....


  • The Palestinian people do not exist. There are no differences between Jordanians, Palestinians, Syrians and Lebanese. We are part of one people, the Arab nation. Lo and behold, I have relatives with Palestinian, Lebanese, Jordanian and Syrian citizenship. We are one people. It is only for political reasons that we carefully endorse our Palestinian identity. Indeed, it is of national interest for the Arabs to encourage the existence of the Palestinians in the face of Zionism. Yes, the existence of a separate Palestinian identity is only for tactical reasons. The establishment of a Palestinian state is a new means to continue the struggle against Israel and for Arab unity.
UNO KARIBU WOTE WAKIRISTO LKN WAMEKUBALIANA ISREAL WAVAMIZI
 
UNO KARIBU WOTE WAKIRISTO LKN WAMEKUBALIANA ISREAL WAVAMIZI

Ni lini mkuu.....tupe lini makubaliano hayo yalifanyika? Je yalikuwa enforced...? Unajua Egypt imetawala Gaza miaka mingapi...Anyway Israel imetengenezwa na Mataifa haya 1947.......Kama kuna wa kumlaumu for creation of Israel, lawama tupia UN

Summary of the UN General Assembly vote on Resolution 181, 29 November 1947
Adopted at the 128th plenary meeting:

In favour: 33
Australia, Belgium, Bolivia, Brazil, Byelorussian S.S.R., Canada, Costa Rica, Czechoslovakia, Denmark, Dominican Republic, Ecuador, France, Guatemala, Haiti, Iceland, Liberia, Luxemburg, Netherlands, New Zealand, Nicaragua, Norway, Panama, Paraguay, Peru, Philippines, Poland, Sweden, Ukrainian S.S.R., Union of South Africa, U.S.A., U.S.S.R., Uruguay, Venezuela.
Against: 13
Afghanistan, Cuba, Egypt, Greece, India, Iran, Iraq, Lebanon, Pakistan, Saudi Arabia, Syria, Turkey, Yemen.
Abstained: 10
Argentina, Chile, China, Colombia, El Salvador, Ethiopia, Honduras, Mexico, United Kingdom, Yugoslavia.
 
Wapalestina ndio wavamizi

Huu ni ukweli mchungu ambao Waarabu wanaujua, lakini hawataki kabisa kuusema, na ndio maana huwa wanakosa ujasiri wa Kusaidia Palestina 100%, ni dini tu inawaunganisha, hasa fundisho lisilo na msingi wa Quran kwamba Palestina ni "Wakf" Kwa vile miaka ya nyuma ilikuwa chini ya Islam.....Situi kwa nini nchi kama Spain na baadhi ya nchi za ulaya zisiwe "Wakf", maana kuna kipindi Uislamu umetawala maeneo hayo!

Charter ya Hamas imeweka wazi...

Strategies of the Islamic Resistance Movement: Palestine Is Islamic aqf:

Article Eleven:​

The Islamic Resistance Movement believes that the land of Palestine is an Islamic Waqf consecrated for future Moslem generations until Judgement Day. It, or any part of it, should not be squandered: it, or any part of it, should not be given up. Neither a single Arab country nor all Arab countries, neither any king or president, nor all the kings and presidents, neither any organization nor all of them, be they Palestinian or Arab, possess the right to do that. Palestine is an Islamic Waqf land consecrated for Moslem generations until Judgement Day. This being so, who could claim to have the right to represent Moslem generations till Judgement Day?

This is the law governing the land of Palestine in the Islamic Sharia (law) and the same goes for any land the Moslems have conquered by force, because during the times of (Islamic) conquests, the Moslems consecrated these lands to Moslem generations till the Day of Judgement.

It happened like this: When the leaders of the Islamic armies conquered Syria and Iraq, they sent to the Caliph of the Moslems, Umar bin-el-Khatab, asking for his advice concerning the conquered land - whether they should divide it among the soldiers, or leave it for its owners, or what? After consultations and discussions between the Caliph of the Moslems, Omar bin-el-Khatab and companions of the Prophet, Allah bless him and grant him salvation, it was decided that the land should be left with its owners who could benefit by its fruit. As for the real ownership of the land and the land itself, it should be consecrated for Moslem generations till Judgement Day. Those who are on the land, are there only to benefit from its fruit. This Waqf remains as long as earth and heaven remain. Any procedure in contradiction to Islamic Sharia, where Palestine is concerned, is null and void.

"Verily, this is a certain truth. Wherefore praise the name of thy Lord, the great Allah." (The Inevitable - verse 95).
 
Huu ndio ukweli, Wapelestina waimbisha ulimwengu kuhusu wao ni nani, Wameipindisha historia na kufanya Uongo kuwa Ukweli.

Sehe hiyo kuitwa Palestina hiyo ni kweli, Utawala wa Warumi uliitwa sehemu inayoitwa Judea Karibia Karne ya pili CE. Na baada ya hapo, sehemu imetawaliwa na watu wengi mno, Utawala wa mwisho ni Ottoman Empire ambao ulitwala kwa miaka karibia 402 na kuondoka baada ya kushindwa vita vya kwanza 1918, Mandate ya Waingereza iliingia kuingalia na kuisimamia sehemu hiyo inayoitwa Palestine na maeneo mengine kama Trans Jordan, Lebanon, Iraq...In actual sense Mwingereza ndio katengeneza mataifa hayo....

Waarabu waliokuwa wakiishi maeneo hayo walikuwa wanaitwa "Arabs" Miaka yote ya kuwepo kwao mahali hapo, Na hata Partition ya UN Resolution # 181 ya 1947, Iligawa nchi huyo ya Palestina kwa "Arabs" na "Jews" . Utambulisho wa "Wapelestina" umezaliwa miaka ya 60 tu na PLO iliyoanzishwa na Waarabu kutetea haki za Waarabu waliko mahali hapo.

Zuheir Hussein kiongozi wa PLO mwaka 1977 aliiweka vizuri alipohojiwa na gazeti la Kidachi, Truth.....


  • The Palestinian people do not exist. There are no differences between Jordanians, Palestinians, Syrians and Lebanese. We are part of one people, the Arab nation. Lo and behold, I have relatives with Palestinian, Lebanese, Jordanian and Syrian citizenship. We are one people. It is only for political reasons that we carefully endorse our Palestinian identity. Indeed, it is of national interest for the Arabs to encourage the existence of the Palestinians in the face of Zionism. Yes, the existence of a separate Palestinian identity is only for tactical reasons. The establishment of a Palestinian state is a new means to continue the struggle against Israel and for Arab unity.
Hii imekata kama Ile issue ya M23.
 
Ni lini mkuu.....tupe lini makubaliano hayo yalifanyika? Je yalikuwa enforced...? Unajua Egypt imetawala Gaza miaka mingapi...Anyway Israel imetengenezwa na Mataifa haya 1947.......Kama kuna wa kumlaumu for creation of Israel, lawama tupia UN

Summary of the UN General Assembly vote on Resolution 181, 29 November 1947
Adopted at the 128th plenary meeting:

In favour: 33
Australia, Belgium, Bolivia, Brazil, Byelorussian S.S.R., Canada, Costa Rica, Czechoslovakia, Denmark, Dominican Republic, Ecuador, France, Guatemala, Haiti, Iceland, Liberia, Luxemburg, Netherlands, New Zealand, Nicaragua, Norway, Panama, Paraguay, Peru, Philippines, Poland, Sweden, Ukrainian S.S.R., Union of South Africa, U.S.A., U.S.S.R., Uruguay, Venezuela.
Against: 13
Afghanistan, Cuba, Egypt, Greece, India, Iran, Iraq, Lebanon, Pakistan, Saudi Arabia, Syria, Turkey, Yemen.
Abstained: 10
Argentina, Chile, China, Colombia, El Salvador, Ethiopia, Honduras, Mexico, United Kingdom, Yugoslavia.
UK imetawala Marekani miaka mingi tu. Na lilikuwa koloni lake
 



Jew Who?


asiatics.jpg



Asiatic traders, tomb of Beni Hassan, Middle Egypt. Jews – or not Jews?


'About the year 1000 B.C. there was nothing distinctive about the Jews ethnically, linguistically, politically or economically.'

N. Cantor (The Sacred Chain, p52)


Jews worship Queen of Heaven


"Then ... all the people who dwelt in Egypt ... answered Jeremiah: “We will not listen to you! We will ... burn incense to the Queen of Heaven and pour out drink offerings to her, as we have done, we and our fathers, our kings and our princes, in the cities of Judah and in the streets of Jerusalem. For then we had plenty of food, were well-off, and saw no trouble."


– Jeremiah 44.15-17.


The rambling, repetitive book of Jeremiah is a collection of disparate material assembled no earlier than the 6th century BC.



Jews worship Tammuz

'Then he brought me to the door of the gate of the LORD's house which was toward the north; and, behold, there sat women weeping for Tammuz.'

– Ezekiel 8:14.

The Babylonian god actually gives his name to the 4th month of the Jewish religious year.



Jews Worship Anat-Bethel

Jewish mercenaries, garrisoned at Elephantine on the upper Nile from the early 7th century BC, maintained their own Temple.

As a "treasurer's report" records, the Judaean soldiers worshipped both Yahweh (Yahu) and his Canaanite girlfriend Anat, despite the prohibitions of Deuteronomy.


asherah.gif


Mrs God

"At two sites, Kuntilet Ajrud in the southwestern part of the Negev hill region, and Khirbet el-Kom in the Judea piedmont, Hebrew inscriptions have been found that mention 'YHWH and his Asherah', 'YHWH Shomron and his Asherah', 'YHWH Teman and his Asherah'.

These inscriptions, from the 8th century BCE, raise the possibility that monotheism, as a state religion, is actually an innovation of the period of the Kingdom of Judea, following the destruction of the Kingdom of Israel."

– Ze'ev Herzog (Prof. Archaeology and Ancient Near Eastern Studies at Tel Aviv University)



Symbolically, Asherah was portrayed as a heifer and Yahweh as a bull.

First mention of Israelites by their neighbours


moabstone.gif


The Moabite Stele - Large slab of basalt that records King Mesha of Moab's defeat of Israel "which hath perished forever".

– 9th century BC (Louvre, Paris)


Back Projection ...

"The Bible writers projected backwards into time the kind of political rivalry that was happening in their own day [6th c BC] in order to explain that rivalry and perhaps justify the Israelite position over current border disputes."

Magnus Magnusson (The Archaeology of the Bible Lands - BC, p76)
 
Ni lini mkuu.....tupe lini makubaliano hayo yalifanyika? Je yalikuwa enforced...? Unajua Egypt imetawala Gaza miaka mingapi...Anyway Israel imetengenezwa na Mataifa haya 1947.......Kama kuna wa kumlaumu for creation of Israel, lawama tupia UN

Summary of the UN General Assembly vote on Resolution 181, 29 November 1947
Adopted at the 128th plenary meeting:

In favour: 33
Australia, Belgium, Bolivia, Brazil, Byelorussian S.S.R., Canada, Costa Rica, Czechoslovakia, Denmark, Dominican Republic, Ecuador, France, Guatemala, Haiti, Iceland, Liberia, Luxemburg, Netherlands, New Zealand, Nicaragua, Norway, Panama, Paraguay, Peru, Philippines, Poland, Sweden, Ukrainian S.S.R., Union of South Africa, U.S.A., U.S.S.R., Uruguay, Venezuela.
Against: 13
Afghanistan, Cuba, Egypt, Greece, India, Iran, Iraq, Lebanon, Pakistan, Saudi Arabia, Syria, Turkey, Yemen.
Abstained: 10
Argentina, Chile, China, Colombia, El Salvador, Ethiopia, Honduras, Mexico, United Kingdom, Yugoslavia.

The Myth of the Jewish ‘Race’


"Thus saith the Lord God unto Jerusalem; Thy birth and thy nativity is of the land of Canaan; thy father was an Amorite, and thy mother an Hittite."

– Ezekiel, 16.17.


The Jews claim themselves to be a race – but are they?

The earliest reference yet found to this singular people is on a statue from the Syrian city of Alalakh, dated to about 1550 BC.

The inscription refers to hapiru warriors in the land of Kin’anu – a presence confirmed by clay tablets from Akhenaten’s capital of Amarna, referring to marauders in the hill country of Palestine.

The famous stele of Pharaoh Merneptah dated to 1207 BC records 'Israel is laid waste, his seed is not’. 'Israel' here is a reference to a people, not a territory.


The weight of evidence suggests these original ‘Hebrews’ coalesced during the bronze age from successive migrations, some from the periphery of the Nile delta (in Egyptian, ‘Peru or apiru meant a labourer) but most from across the Jordan and Euphrates rivers.

In their own semitic tongue, habiru meant ‘beyond’, suggesting an origin elsewhere. In Babylonian script khabiru referred to a class of slaves.

As a people, therefore, the Hebrews combined Mesopotamian and Egyptian stock, almost certainly drawn from the lowest social order, conceivably including runaway slaves. One migration, at least, brought with it a mountain/sky god – Yahweh – destined for higher things.
 
Back
Top Bottom