nguluvisonzo
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 515
- 71
katika mkutano wa hadhara uliofanyika temeke kata ya makangarawe Malimu Seif Sharifu Hamad alidai nanukuu gazeti la Mwananchi la tarehe 10 /01/2012''MIONGONI MWA TUHUMA ZA KUFUKUZWA HAMAD, NI KUVUJISHA SIRI ZA CHAMA,KUSHINDWA KUWASILISHA HOJA ALIZOKUWA AKIPEWA NA CHAMA KUPELEKA BUNGENI,HUKU AKIDAIWA KUWAPA WABUNGE WA CHADEMA AMBAO ALIWATAJA KUWA NI DK WIBROAD SLAA NA ZITTO KABWE".
Maalim naona sasa amekolea na CCM B,huyu jamaa ni hatari sana hataki kupingwa hata kidogo,katika hoja nzito ambazo zimekwisha wahi kutolewa na DR Slaa na Zitto mimi sioni kama zilitoka CUF.
Maalim katika sakata la CUF sio la HR pekee na mengine toka enzi za Mapalala dhahiri jamaa ni dikteta,hataki wengine wawe viongozi wenye kuwa na sauti,baada ya kupata umakamu jamaa kafika wengine wote ni takataka,hata Lipumba ni boya pale(mwenyekiti hewa asiye na kauli juu ya uendeshaji wa chama).
je maneno ya Maalim yanaukweli? DR na Zitto tupeni uhalisia wa maneno haya aliyofunguka kinala wa CUF.
Maalim naona sasa amekolea na CCM B,huyu jamaa ni hatari sana hataki kupingwa hata kidogo,katika hoja nzito ambazo zimekwisha wahi kutolewa na DR Slaa na Zitto mimi sioni kama zilitoka CUF.
Maalim katika sakata la CUF sio la HR pekee na mengine toka enzi za Mapalala dhahiri jamaa ni dikteta,hataki wengine wawe viongozi wenye kuwa na sauti,baada ya kupata umakamu jamaa kafika wengine wote ni takataka,hata Lipumba ni boya pale(mwenyekiti hewa asiye na kauli juu ya uendeshaji wa chama).
je maneno ya Maalim yanaukweli? DR na Zitto tupeni uhalisia wa maneno haya aliyofunguka kinala wa CUF.