Manyunchwi
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 431
- 149
Kwa nini hao mgambo wafanye hayo usiku?....
Kama taratibu zimekiukwa wafanyabiashara wangeitwa na kuelezwa.... utaharibuje chakula (na mali ya mtu)?... mbaya zaidi wakati mwenyewe hayupo!
Kama taratibu zimekiukwa wafanyabiashara wangeitwa na kuelezwa.... utaharibuje chakula (na mali ya mtu)?... mbaya zaidi wakati mwenyewe hayupo!